navigator msomi
Senior Member
- May 8, 2018
- 188
- 224
Iko hivi,kaona p mara ya mwisho December 04 kafanya mapenzi tarehe 17 anadai kapata mimba,ila mpaka saiz hajazaaa wataalamu hakuna kitu kizito hapaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko hivi,kaona p mara ya mwisho December 04 kafanya mapenzi tarehe 17 anadai kapata mimba,ila mpaka saiz hajazaaa wataalamu hakuna kitu kizito hapaaaa
Ulizaa kawaida Jirani?Ultrasound inasemaje kwenye expected date? Au mnapima Kwa macho? Mara nyingine Kuna kupitiliza hata Mimi wakati nazaa mtoto wangu wa 3 nipipotiliza mwezi mzima nikazaa mtoto mkubwa mwenye kilo 4.5 tofauti na wenzie walizaliwa na kilo 3.5
Si ulishaambiwa huu mzigo wa mwezi wa kumi. Kuzaa si kazi, kazi kulea. Wakiume wenzako watakuambiaIko hivi,kaona p mara ya mwisho December 04 kafanya mapenzi tarehe 17 anadai kapata mimba,ila mpaka saiz hajazaaa wataalamu hakuna kitu kizito hapaaaa