McFerson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,166
- 2,322
Wasalaam,
Kuna nyuzi nyingi zipo jukwa hili za matatizo ya nywele na watu wanasaidiwa vizuri,kwangu mimi shida yangu ni mwanangu ananywele karibia uso mzima. Nimejitahidi kumtinda mara nyingi mpaka naona anataka kuvuka under five,mwanzoni nilijua atakuwa vizuri sasa naanza kupata wasiwasi yaani anakosa shape nzuri, ingawa ni mtoto wa kiume nahisi anaweza asivutie ukubwani.
So please naomba mwenye utaalamu na kitu hii anisaidie ili nywele ziache kuota.
Naomba kuwasilisha.
Kuna nyuzi nyingi zipo jukwa hili za matatizo ya nywele na watu wanasaidiwa vizuri,kwangu mimi shida yangu ni mwanangu ananywele karibia uso mzima. Nimejitahidi kumtinda mara nyingi mpaka naona anataka kuvuka under five,mwanzoni nilijua atakuwa vizuri sasa naanza kupata wasiwasi yaani anakosa shape nzuri, ingawa ni mtoto wa kiume nahisi anaweza asivutie ukubwani.
So please naomba mwenye utaalamu na kitu hii anisaidie ili nywele ziache kuota.
Naomba kuwasilisha.