Raphael Mtui
Member
- Nov 26, 2024
- 78
- 204
Katika kitabu hicho, waandishi wamejikita kujibu swali linaoulizwa mara kwa mara la Israeli inatuhusu nini sisi Wakristo? Kuna ulazima gani wa sisi kujifunza na kuifuatilia Israeli? Na je, Israeli kuwa taifa teule ina maana uteule wao unatokana na wao kuwa watu wema wanaompendeza Mungu?
Katika kitabu hiki, wamekuwekea ile miujiza mikubwa mitano ya kivituko iliyotokea hekaluni kuwaashiria Wayahudi wanakosea kwa kuweka imani kwa hekalu badala ya kwa Yesu. Usiache kujua mambo ya ajabu yaliyotokea hekaluni na baada ya Yesu kusulibiwa na kuleta fadhaa kubwa kwa Wayahudi wakati ule kabla hekalu halijabomolewa na Warumi mwaka 70AD.
Pia, waandishi wamekuonesha mahesabu kamili ya unabii wa Ezekiel jinsi alivvyotabiri Israeli itapata uhuru mwaka 1948, na tukaeleza kwa upana ile stori ya kusisimua ya jinsi mambo yalivyoenda ile tarehe 14 May walivyopata uhuru. Lile tamko rasmi la uhuru wa Israeli hatimaye limetafsiriwa kwa Kiswahili, na kuwekwa ndani ya kitabu hiki.
Hali kadhalika wamekupa stori yote ya maajabu jinsi Israeli ilivyofutwa kwenye ramani ya dunia kwa miaka karibu 2000 na bado ikazaliwa tena, na tena kuwa simba tishio. Tumeorodhesha vita vyote walivyopigana tangu wapate uhuru na bado wakashinda kwa kishindo licha ya kushambuliwa na muungano wa majeshi makubwa.
Katika kitabu hiki utapata historia nzima ya taifa la Israeli tangu pale kwenye tukio la kitabu cha Mwanzo 12 Ibrahimu alipoitwa, historia hiyo ikaja hadi mwaka 2024. Historia hii ya kusisimua sio ya kukosa kabisa, kwa kuwa matukio yote muhimu yaliyotokea kwa Israeli yameorodheshwa.
Pia, utapata kwa undani historia tukufu ya Hekalu la Yerusalemu, hekalu la kwanza lililobomolewa na Nebukadreza na la pili lililokuja kubomolewa na Warumi mwaka 70AD.
Kitabu kimeangazia kwa nini Wayahudi hawajafanikiwa kujenga hekalu lingine mpaka leo, vikwazo vya ajabu walivyokutana navyo wakati wanajaribu kujenga hekalu la tatu ikiwemo moto uliokuwa unatokea ardhini na kuwachoma wajenzi kiasi cha kufanya ujenzi usimame. Pia, tumeeleza kwa undani juu ya michakato yote iliyofanywa na Waisraeli ya kupata ng'ombe mke mwekundu asiye na kipaku ambayo imefanyika dunia nzima pasipo mafanikio.
Lifahamu kundi hatari la kigaidi la Kiyahudi lililoitwa Wazelote ambalo lilichangia Israeli kufutwa kwenye ramani kwa karibu miaka 2000! Fahamu lilivyozaliwa na lilivyofanya mauaji na ukatili kiasi cha kuisogeza Israeli kutimiziwa unabii wa machozi yaliyodumu kwa milenia mbili.
Pia utapata kujua kiundani namna ya kutofautisha Wasamaria na Wayahudi. Fahamu chanzo cha Wasamaria, na walikopotelea na upate kujua vizuri makundi hayo.
Kitabu hiki kina kurasa 142, kwa shilingi 15,000 unakipata kama soft copy.
Wasiliana nami kwa namba 0762731869, piga au whatsapp.
Raphael Mtui.
Katika kitabu hiki, wamekuwekea ile miujiza mikubwa mitano ya kivituko iliyotokea hekaluni kuwaashiria Wayahudi wanakosea kwa kuweka imani kwa hekalu badala ya kwa Yesu. Usiache kujua mambo ya ajabu yaliyotokea hekaluni na baada ya Yesu kusulibiwa na kuleta fadhaa kubwa kwa Wayahudi wakati ule kabla hekalu halijabomolewa na Warumi mwaka 70AD.
Pia, waandishi wamekuonesha mahesabu kamili ya unabii wa Ezekiel jinsi alivvyotabiri Israeli itapata uhuru mwaka 1948, na tukaeleza kwa upana ile stori ya kusisimua ya jinsi mambo yalivyoenda ile tarehe 14 May walivyopata uhuru. Lile tamko rasmi la uhuru wa Israeli hatimaye limetafsiriwa kwa Kiswahili, na kuwekwa ndani ya kitabu hiki.
Hali kadhalika wamekupa stori yote ya maajabu jinsi Israeli ilivyofutwa kwenye ramani ya dunia kwa miaka karibu 2000 na bado ikazaliwa tena, na tena kuwa simba tishio. Tumeorodhesha vita vyote walivyopigana tangu wapate uhuru na bado wakashinda kwa kishindo licha ya kushambuliwa na muungano wa majeshi makubwa.
Katika kitabu hiki utapata historia nzima ya taifa la Israeli tangu pale kwenye tukio la kitabu cha Mwanzo 12 Ibrahimu alipoitwa, historia hiyo ikaja hadi mwaka 2024. Historia hii ya kusisimua sio ya kukosa kabisa, kwa kuwa matukio yote muhimu yaliyotokea kwa Israeli yameorodheshwa.
Pia, utapata kwa undani historia tukufu ya Hekalu la Yerusalemu, hekalu la kwanza lililobomolewa na Nebukadreza na la pili lililokuja kubomolewa na Warumi mwaka 70AD.
Kitabu kimeangazia kwa nini Wayahudi hawajafanikiwa kujenga hekalu lingine mpaka leo, vikwazo vya ajabu walivyokutana navyo wakati wanajaribu kujenga hekalu la tatu ikiwemo moto uliokuwa unatokea ardhini na kuwachoma wajenzi kiasi cha kufanya ujenzi usimame. Pia, tumeeleza kwa undani juu ya michakato yote iliyofanywa na Waisraeli ya kupata ng'ombe mke mwekundu asiye na kipaku ambayo imefanyika dunia nzima pasipo mafanikio.
Lifahamu kundi hatari la kigaidi la Kiyahudi lililoitwa Wazelote ambalo lilichangia Israeli kufutwa kwenye ramani kwa karibu miaka 2000! Fahamu lilivyozaliwa na lilivyofanya mauaji na ukatili kiasi cha kuisogeza Israeli kutimiziwa unabii wa machozi yaliyodumu kwa milenia mbili.
Pia utapata kujua kiundani namna ya kutofautisha Wasamaria na Wayahudi. Fahamu chanzo cha Wasamaria, na walikopotelea na upate kujua vizuri makundi hayo.
Kitabu hiki kina kurasa 142, kwa shilingi 15,000 unakipata kama soft copy.
Wasiliana nami kwa namba 0762731869, piga au whatsapp.
Raphael Mtui.