Wadau nani anajua bei za haya magari Afrika Kusini?

Wadau nani anajua bei za haya magari Afrika Kusini?

Hello! Isanga Family tunaomba uendelee kutupa madini juu ya hizi pick ups kwa huko south.
 
Juzi nimemwona yule dogo docta na msanii JIMMY CHASA wamenunua Wagon SA wanaichapa gear wenywe hadi Yz nimetamani sana ila ndo ivo pesa pesa.
 
wadau naomba tujuzane bei ya hizi gari nnchini afrika kusini. lengo nikujua kama ziko chini kuleko kwetu tanzania au la.
1.ford ranger
2.mercedes benz

3.toyota hilax
na jee ni njia ipi rahisi ya kusafirisha mpaka tanzania. kwani nasikia kuna boda nyingi
Hizo zilizokuwa bolded taja model na mwaka upewe bei.
Hiyo italic and bolded iandike vizuri. Duniani hamna gari inaitwa toyota hilax kuna Toyota Hilux
 
Interpol hawasafiri kilichopo ni kuwa wapo polisi Tanzania na Nchi zote za SADC wameungana kuhusu uhalifu wa hizi Nchi sisi wengine tumeanza kununua 504 mwaka 2002 mpaka leo tupo na Ford Raptor ni wauzaji huku SA na Tanzania siwezi kupata taarifa kutoka kwako SA vitu ni vingi tuu bei za kawaida sio magari tuu yapo maduka kila siku ni sell sell Tanzania kwa sababu tunaamini katika umasikini tunakatishana tamaa sana hata kwa vitu vidogo gari sio ishu ya kujadili kwa wasafiri labda aina ya Gari..
✅🙏🙏🙏
 
Hello! Isanga Family tunaomba uendelee kutupa madini juu ya hizi pick ups kwa huko south.
Mkuu Gari SA hasa pick up hazina bei sana maana wao wanauza kutokana na Mwaka(model)ikiwa ya muda kidogo bei inapungua sokoni tofauti na Nchi zingine wao wanaangalia demand kwenye soko...
Nissan hard body NP 300...
Tata Ford Ranger 2008 mpaka 2012
Toyota hilux mwaka 2006 mpaka 2010
Hizi gari ni ngumu sana na pia bei yake SA sio kubwa unaweza kuzipata kwa rand 80,000 mpaka 120,000 kupata Tsh zidisha na Tsh 150 kwa rand 1...Nissan hard body chini ya 2009 kuja 2006 unaweza kuzipata kwa rand hata 60,000 wewe ni kufanya service ndogo na kuanza safari mara nyingi utakuta gari ina tairi nzuri maana bei ya Tairi sio kubwa SA..
 
Mkuu Gari SA hasa pick up hazina bei sana maana wao wanauza kutokana na Mwaka(model)ikiwa ya muda kidogo bei inapungua sokoni tofauti na Nchi zingine wao wanaangalia demand kwenye soko...
Nissan hard body NP 300...
Tata Ford Ranger 2008 mpaka 2012
Toyota hilux mwaka 2006 mpaka 2010
Hizi gari ni ngumu sana na pia bei yake SA sio kubwa unaweza kuzipata kwa rand 80,000 mpaka 120,000 kupata Tsh zidisha na Tsh 150 kwa rand 1...Nissan hard body chini ya 2009 kuja 2006 unaweza kuzipata kwa rand hata 60,000 wewe ni kufanya service ndogo na kuanza safari mara nyingi utakuta gari ina tairi nzuri maana bei ya Tairi sio kubwa SA..

Nashukuru bro tutawasiliana

Majukum yangu ya kazi pick up ni lazima niwe nataka nisiwe nataka ni lazima.
 
Mkuu Gari SA hasa pick up hazina bei sana maana wao wanauza kutokana na Mwaka(model)ikiwa ya muda kidogo bei inapungua sokoni tofauti na Nchi zingine wao wanaangalia demand kwenye soko...
Nissan hard body NP 300...
Tata Ford Ranger 2008 mpaka 2012
Toyota hilux mwaka 2006 mpaka 2010
Hizi gari ni ngumu sana na pia bei yake SA sio kubwa unaweza kuzipata kwa rand 80,000 mpaka 120,000 kupata Tsh zidisha na Tsh 150 kwa rand 1...Nissan hard body chini ya 2009 kuja 2006 unaweza kuzipata kwa rand hata 60,000 wewe ni kufanya service ndogo na kuanza safari mara nyingi utakuta gari ina tairi nzuri maana bei ya Tairi sio kubwa SA..
Mkuu nna interest na bmw x3 series ya 2014 hadi 2016 hapo. Bei zinaendaje? Makampuni gani yanayouza magari hayo yapo reliable huko. Nataka nijipange mwaka huu nije
 
Nashukuru bro tutawasiliana

Majukum yangu ya kazi pick up ni lazima niwe nataka nisiwe nataka ni lazima.
OK tafuta Toyota pick up double cabin ya kuanzia 2010 d4d diesel itakusaidia...
Nissan NP 300 ni nzuri na dume kweli sema kwenye kununua Nozel ndio itakua gharama pindi ukitaka kubadili na Pump yake ila ukiipata ya miaka ya karibuni mpaka ije isumbue sio leo..Nissan NP 300 ni gari ngumu pia..
 
Mkuu nna interest na bmw x3 series ya 2014 hadi 2016 hapo. Bei zinaendaje? Makampuni gani yanayouza magari hayo yapo reliable huko. Nataka nijipange mwaka huu nije
OK mkuu zipo ukiwa tayari tuwasiliane tu..
 
OK tafuta Toyota pick up double cabin ya kuanzia 2010 d4d diesel itakusaidia...
Nissan NP 300 ni nzuri na dume kweli sema kwenye kununua Nozel ndio itakua gharama pindi ukitaka kubadili na Pump yake ila ukiipata ya miaka ya karibuni mpaka ije isumbue sio leo..Nissan NP 300 ni gari ngumu pia..

Nitachukua tu kampuni ya Toyota pia tutawasiliana zaidi unichukulie hyo gari nikiwa tayari.
 
Nitachukua tu kampuni ya Toyota pia tutawasiliana zaidi unichukulie hyo gari nikiwa tayari.

NP300 zinanichosha sana seats zake za kule nyuma leg room ni ndogo sana
 
Mkuu Gari SA hasa pick up hazina bei sana maana wao wanauza kutokana na Mwaka(model)ikiwa ya muda kidogo bei inapungua sokoni tofauti na Nchi zingine wao wanaangalia demand kwenye soko...
Nissan hard body NP 300...
Tata Ford Ranger 2008 mpaka 2012
Toyota hilux mwaka 2006 mpaka 2010
Hizi gari ni ngumu sana na pia bei yake SA sio kubwa unaweza kuzipata kwa rand 80,000 mpaka 120,000 kupata Tsh zidisha na Tsh 150 kwa rand 1...Nissan hard body chini ya 2009 kuja 2006 unaweza kuzipata kwa rand hata 60,000 wewe ni kufanya service ndogo na kuanza safari mara nyingi utakuta gari ina tairi nzuri maana bei ya Tairi sio kubwa SA..

Sorry kaka nitakuuliza mfano ushuru wa hyo ya 2010 ushuru wake utakuwaje?utakuwa wa SADC au kama tu wa japan?
 
Back
Top Bottom