Van persie
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,099
- 720
Mimi nataka kujiunga na chuo mwaka huu na tayari nimeshachukuwa application form.Tatizo langu ni pale ambapo majina ya vyeti vyangu vya O'level na A'level ni tofauti na majina yaliyo kwenye pasipoti yangu,kwa hiyo nililazimika kutafuta affidavit.
Hila shida ni kwenye application form,ambapo kwenye kujaza majina nashindwa kujua ni jaze majina ya kwenye vyeti au yale yaliyo kwenye pasipoti(ambayo ni halali).Naombeni msaada ni kwa jinsi gani naweza kutatuka kutoka kwenye huu mkwamo.
Hila shida ni kwenye application form,ambapo kwenye kujaza majina nashindwa kujua ni jaze majina ya kwenye vyeti au yale yaliyo kwenye pasipoti(ambayo ni halali).Naombeni msaada ni kwa jinsi gani naweza kutatuka kutoka kwenye huu mkwamo.