Wadau naomba msaada wenu

Anniem

Member
Joined
Aug 27, 2009
Posts
31
Reaction score
1
Mimi nimemaliza chuo mwaka 2007 Advanced diploma in IT.Katika kipindi chote mpaka sasa sijabahatika kupata kazi ya proffessional yangu.nimejikuta nafanya part time job.Imefikia kipindi nimeanza kusahau hata nilivyosomea.naomba msaada wenu kama naweza kupata walau sehemu ya kujikumbushia computer. kwani hata nikiitwa kwenye interview nahisi naweza feli kwenye maswali ya technical
mwenye msaada unaweza tumia annieba@yahoo.com
 
Annieba,
Ambatanisha basi area in IT uliyojifunza na your interests za hii fani ya IT, hapo utaweza kupata msaada na maelezo zaidi kwa wadau.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…