Wadau naomba msaada wenu

Wadau naomba msaada wenu

Anniem

Member
Joined
Aug 27, 2009
Posts
31
Reaction score
1
Mimi nimemaliza chuo mwaka 2007 Advanced diploma in IT.Katika kipindi chote mpaka sasa sijabahatika kupata kazi ya proffessional yangu.nimejikuta nafanya part time job.Imefikia kipindi nimeanza kusahau hata nilivyosomea.naomba msaada wenu kama naweza kupata walau sehemu ya kujikumbushia computer. kwani hata nikiitwa kwenye interview nahisi naweza feli kwenye maswali ya technical
mwenye msaada unaweza tumia annieba@yahoo.com
 
Annieba,
Ambatanisha basi area in IT uliyojifunza na your interests za hii fani ya IT, hapo utaweza kupata msaada na maelezo zaidi kwa wadau.
 
Mimi nimemaliza chuo mwaka 2007 Advanced diploma in IT.Katika kipindi chote mpaka sasa sijabahatika kupata kazi ya proffessional yangu.nimejikuta nafanya part time job.Imefikia kipindi nimeanza kusahau hata nilivyosomea.naomba msaada wenu kama naweza kupata walau sehemu ya kujikumbushia computer. kwani hata nikiitwa kwenye interview nahisi naweza feli kwenye maswali ya technical
mwenye msaada unaweza tumia annieba@yahoo.com[

area of interest ni system analyst pia website design.
Nimejifunza website design kwa kutumia adobe,front page,na dreamweaver
system analysisi and design
mysql
php kidogo
installation na troubleshooting na application za kawaida
 
Back
Top Bottom