Godface
JF-Expert Member
- Mar 4, 2020
- 211
- 561
Huo ni uwongo kila gari ikichoka huwezi kuiuza si tunaona hata oppa zinavyowatesa , gari matunzo tuache kukaririLabda skrepa, ikiwa bado mpya utaiuza ila ikishachoka inachoka kila kitu bodi, engine na tairi zinaweka tege hata aibu kumuuzia mtu kwa ajili ya matumizi
sent from HUAWEI