wadau naomba ushauri wa suluhisho la upungufu wa nguvu za kiume.

wadau naomba ushauri wa suluhisho la upungufu wa nguvu za kiume.

NYUMBANITU

Member
Joined
Nov 21, 2016
Posts
15
Reaction score
12
Habari wana jamii forum, leo najitokeza kwanu wadau ili mweze kunisaidia tatizo nilonalo.

Tatizo hili nimehangaika nalo mpaka nimekwama, so najua humu naweza pata mtu aliewahi kua na tatizo kama langu na pengine akapata suluhisho akaweza nisaidia njia ipi alitumia.

mimi ni miaka 29 sasa hv na ninatatizo kubwa sana la upungufu wa nguvu za kiume, yaan ninaposema ninatatizo wadau mnielewe kua ninashida kwelikweli.

Mimi uwezo wangu wa kusimamisha ni mdogo sana yaan hata unaweza kua na mwanamke ukawa unamchezea na possible mashine isisimame kabisa au kama itasimama basi ni kwa ulegelege sana yaani haikakamai au kua STIFF.

Na kama inatokea nikataka kufanya tendo basi haizizi dakika hata mbili nishakojoa na hapo sasa kuja kusimama tena ni shuhuli inaweza ikachukua mda sana, au isisimame kabisa. nimejaribu kula sana mitishamba ya kutosha lakini wapi, kuna cku nilienda hospitali but docta akanihoji tu hakunipima basi akaniandika dawa nikanunue inaitwa "weed goat and yohimbe " kama cjakosea ilikua doz ya mwezi mmoja but ckuona hata dalili za mabadiliko.

Hadi sasa nimegail kabisa hata kutongoza mana, kuna wadada kama watatu tofauti washanikimbia coz wanakua hawanielewi kabisa, anakuja home hafu anaishia kuchezewa tu. wamekua hawanielewi kwa kweli japo nimekua nikificha asijue sababu.

But kiukweli mimi mwenyewe naumia sana cna jinsi na umri unasogea hata mustakabali wa kuoa naona giza tu.

Naomba kwa dhati kabisa km kuna mwenye ufumbuzi wa tatizo langu au kuna mtu aliwah pata tatzo hili pliz naomba mnisaidie mlitatua vip na km ni hospital ni hospital gani na hata jina la dactari km inawezekana. au km ni dactari ni mwanajamii basi nitashukuru kupata maelezo ya suluhisho. kiukweli sina raha kabisa na naisha haya.

kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha kwenu wadau.
 
M
Habari wana jamii forum, leo najitokeza kwanu wadau ili mweze kunisaidia tatizo nilonalo. Tatizo hili nimehangaika nalo mpaka nimekwama, so najua humu naweza pata mtu aliewahi kua na tatizo kama langu na pengine akapata suluhisho akaweza nisaidia njia ipi alitumia.

mimi ni miaka 29 sasa hv na ninatatizo kubwa sana la upungufu wa nguvu za kiume, yaan ninaposema ninatatizo wadau mnielewe kua ninashida kwelikweli. mimi uwezo wangu wa kusimamisha ni mdogo sana yaan hata unaweza kua na mwanamke ukawa unamchezea na possible mashine isisimame kabisa au kama itasimama basi ni kwa ulegelege sana yaani haikakamai au kua STIFF.
Na kama inatokea nikataka kufanya tendo basi haizizi dakika hata mbili nishakojoa na hapo sasa kuja kusimama tena ni shuhuli inaweza ikachukua mda sana, au isisimame kabisa. nimejaribu kula sana mitishamba ya kutosha lakini wapi, kuna cku nilienda hospitali but docta akanihoji tu hakunipima basi akaniandika dawa nikanunue inaitwa "weed goat and yohimbe " kama cjakosea ilikua doz ya mwezi mmoja but ckuona hata dalili za mabadiliko.

Hadi sasa nimegail kabisa hata kutongoza mana, kuna wadada kama watatu tofauti washanikimbia coz wanakua hawanielewi kabisa, anakuja home hafu anaishia kuchezewa tu. wamekua hawanielewi kwa kweli japo nimekua nikificha asijue sababu. but kiukweli mimi mwenyewe naumia sana cna jinsi na umri unasogea hata mustakabali wa kuoa naona giza tu.

Naomba kwa dhati kabisa km kuna mwenye ufumbuzi wa tatizo langu au kuna mtu aliwah pata tatzo hili pliz naomba mnisaidie mlitatua vip na km ni hospital ni hospital gani na hata jina la dactari km inawezekana. au km ni dactari ni mwanajamii basi nitashukuru kupata maelezo ya suluhisho. kiukweli sina raha kabisa na naisha haya.
kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha kwenu wadau.
kuu vp uliwahi kupiga nyeto kwa sana hapo kabla?
 
Habari wana jamii forum, leo najitokeza kwanu wadau ili mweze kunisaidia tatizo nilonalo. Tatizo hili nimehangaika nalo mpaka nimekwama, so najua humu naweza pata mtu aliewahi kua na tatizo kama langu na pengine akapata suluhisho akaweza nisaidia njia ipi alitumia.

mimi ni miaka 29 sasa hv na ninatatizo kubwa sana la upungufu wa nguvu za kiume, yaan ninaposema ninatatizo wadau mnielewe kua ninashida kwelikweli. mimi uwezo wangu wa kusimamisha ni mdogo sana yaan hata unaweza kua na mwanamke ukawa unamchezea na possible mashine isisimame kabisa au kama itasimama basi ni kwa ulegelege sana yaani haikakamai au kua STIFF.
Na kama inatokea nikataka kufanya tendo basi haizizi dakika hata mbili nishakojoa na hapo sasa kuja kusimama tena ni shuhuli inaweza ikachukua mda sana, au isisimame kabisa. nimejaribu kula sana mitishamba ya kutosha lakini wapi, kuna cku nilienda hospitali but docta akanihoji tu hakunipima basi akaniandika dawa nikanunue inaitwa "weed goat and yohimbe " kama cjakosea ilikua doz ya mwezi mmoja but ckuona hata dalili za mabadiliko.

Hadi sasa nimegail kabisa hata kutongoza mana, kuna wadada kama watatu tofauti washanikimbia coz wanakua hawanielewi kabisa, anakuja home hafu anaishia kuchezewa tu. wamekua hawanielewi kwa kweli japo nimekua nikificha asijue sababu. but kiukweli mimi mwenyewe naumia sana cna jinsi na umri unasogea hata mustakabali wa kuoa naona giza tu.

Naomba kwa dhati kabisa km kuna mwenye ufumbuzi wa tatizo langu au kuna mtu aliwah pata tatzo hili pliz naomba mnisaidie mlitatua vip na km ni hospital ni hospital gani na hata jina la dactari km inawezekana. au km ni dactari ni mwanajamii basi nitashukuru kupata maelezo ya suluhisho. kiukweli sina raha kabisa na naisha haya.
kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha kwenu wadau.
Mkuu umeanza kujihusisha na mapenzi lini? Na je hali ilikuwaje hapo nyuma? Au hili tatizo limeanza juzijuzi tu?
 
pole sana haya mambo ya kusubiri ufike miaka ya 25 na kuendelea ndo uanze kula pussy sio mazuri kabisa mi nashauri ukifikisha miaka 18 angalau uwe ushakula pussy kama 4 hivi, sio mtu unasubiri umri umeenda ndo unaanza kutafuta mademu.

wahi mapema chukua uzoefu mapema umri bado mdogo ili ujue kiwango chako kikoje kwenye kula pussy.
 
Nenda hospitali kubwa, wakupime, Mungu yu pamoja nawe utafanikiwa. Kama hautojali njoo pm
 
Habari wana jamii forum, leo najitokeza kwanu wadau ili mweze kunisaidia tatizo nilonalo. Tatizo hili nimehangaika nalo mpaka nimekwama, so najua humu naweza pata mtu aliewahi kua na tatizo kama langu na pengine akapata suluhisho akaweza nisaidia njia ipi alitumia.

mimi ni miaka 29 sasa hv na ninatatizo kubwa sana la upungufu wa nguvu za kiume, yaan ninaposema ninatatizo wadau mnielewe kua ninashida kwelikweli. mimi uwezo wangu wa kusimamisha ni mdogo sana yaan hata unaweza kua na mwanamke ukawa unamchezea na possible mashine isisimame kabisa au kama itasimama basi ni kwa ulegelege sana yaani haikakamai au kua STIFF.
Na kama inatokea nikataka kufanya tendo basi haizizi dakika hata mbili nishakojoa na hapo sasa kuja kusimama tena ni shuhuli inaweza ikachukua mda sana, au isisimame kabisa. nimejaribu kula sana mitishamba ya kutosha lakini wapi, kuna cku nilienda hospitali but docta akanihoji tu hakunipima basi akaniandika dawa nikanunue inaitwa "weed goat and yohimbe " kama cjakosea ilikua doz ya mwezi mmoja but ckuona hata dalili za mabadiliko.

Hadi sasa nimegail kabisa hata kutongoza mana, kuna wadada kama watatu tofauti washanikimbia coz wanakua hawanielewi kabisa, anakuja home hafu anaishia kuchezewa tu. wamekua hawanielewi kwa kweli japo nimekua nikificha asijue sababu. but kiukweli mimi mwenyewe naumia sana cna jinsi na umri unasogea hata mustakabali wa kuoa naona giza tu.

Naomba kwa dhati kabisa km kuna mwenye ufumbuzi wa tatizo langu au kuna mtu aliwah pata tatzo hili pliz naomba mnisaidie mlitatua vip na km ni hospital ni hospital gani na hata jina la dactari km inawezekana. au km ni dactari ni mwanajamii basi nitashukuru kupata maelezo ya suluhisho. kiukweli sina raha kabisa na naisha haya.
kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha kwenu wadau.
Rudi hospital ukapimwe salatani ya tezi dume. Ikiwa huna hilo tatizo ni pm ntakuelekeza kwa mtu aliyemsaidia rafiki yangu.
Pole sana.
 
Pole sana mkuu hayo matatizo wanayo watu wengi sana sasa hivi..... Ila nakushauri humu haautopata majibu sahihi sana sana watu watakukejeli tu kwa ushauri wangu google hiyo kitu kwenye INTERNET utakutana na ushauri wa madaktari lukuki na hata tiba utapata huko ila sio hapa JF nimatatizo tu humu.
 
Suluhisho lipo!
Kama ukiamua jaribu kununua tikiti maji likatekate vipande vidogo vidogo ukiweka Na lile ganda laini jeupe la ndani pamoja Na mbegu zake!
Weka kwenye blenda saga juice ya kutosha!

Weka sufuria jikoni, chemsha hiyo juice Na ikamulie limau mbili au Tatu kutegemea Na uwingi wa juice!
Chemsha kwa muda mrefu hadi ionekane Kama ina kauka kwenye sufuria!

Ipua sufuria Na iweke kwenye chupa safi! Kunywa asubuhi kabla hujala Chochote Na pia jioni wakati ukitaka kulala!

Juice hiyo usiiongeze Chochote sio chumvi au sio sukari!!!!
Kama hilo gegedo lako halitasimama vizuri basi sasa litakuwa limeshindikana!!
 
dah hilo tatizo sugu kwa wanaume wote duniani ila usikate tamaa nenda hospitali kubwa ukapate vipimo
 
mimi niliwahi kupatwa na hilo tatizo but saiz niko fresh ,

ujumbe tuache punyeto
 
Mkuu umeanza kujihusisha na mapenzi lini? Na je hali ilikuwaje hapo nyuma? Au hili tatizo limeanza juzijuzi tu?
kiukweli nimeanza waka 2009. na hali ilikua sio mbaya sana km sasa hv. but kuanzia 2012 na kuendelea ndo nguvu zimezid kupungua sana, yaan km sasa hv ni zero point km ingekua ni kwenye kipimo
 
Habari wana jamii forum, leo najitokeza kwanu wadau ili mweze kunisaidia tatizo nilonalo. Tatizo hili nimehangaika nalo mpaka nimekwama, so najua humu naweza pata mtu aliewahi kua na tatizo kama langu na pengine akapata suluhisho akaweza nisaidia njia ipi alitumia.

mimi ni miaka 29 sasa hv na ninatatizo kubwa sana la upungufu wa nguvu za kiume, yaan ninaposema ninatatizo wadau mnielewe kua ninashida kwelikweli. mimi uwezo wangu wa kusimamisha ni mdogo sana yaan hata unaweza kua na mwanamke ukawa unamchezea na possible mashine isisimame kabisa au kama itasimama basi ni kwa ulegelege sana yaani haikakamai au kua STIFF.
Na kama inatokea nikataka kufanya tendo basi haizizi dakika hata mbili nishakojoa na hapo sasa kuja kusimama tena ni shuhuli inaweza ikachukua mda sana, au isisimame kabisa. nimejaribu kula sana mitishamba ya kutosha lakini wapi, kuna cku nilienda hospitali but docta akanihoji tu hakunipima basi akaniandika dawa nikanunue inaitwa "weed goat and yohimbe " kama cjakosea ilikua doz ya mwezi mmoja but ckuona hata dalili za mabadiliko.

Hadi sasa nimegail kabisa hata kutongoza mana, kuna wadada kama watatu tofauti washanikimbia coz wanakua hawanielewi kabisa, anakuja home hafu anaishia kuchezewa tu. wamekua hawanielewi kwa kweli japo nimekua nikificha asijue sababu. but kiukweli mimi mwenyewe naumia sana cna jinsi na umri unasogea hata mustakabali wa kuoa naona giza tu.

Naomba kwa dhati kabisa km kuna mwenye ufumbuzi wa tatizo langu au kuna mtu aliwah pata tatzo hili pliz naomba mnisaidie mlitatua vip na km ni hospital ni hospital gani na hata jina la dactari km inawezekana. au km ni dactari ni mwanajamii basi nitashukuru kupata maelezo ya suluhisho. kiukweli sina raha kabisa na naisha haya.
kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha kwenu wadau.
Umeoa?...unavyowachezea hao wadada unadhani ni sawa?labda ukioa mambo yatakunyookea.
 
Rudi hospital ukapimwe salatani ya tezi dume. Ikiwa huna hilo tatizo ni pm ntakuelekeza kwa mtu aliyemsaidia rafiki yangu.
Pole sana.

nimezipitia dalili za tez dume hata jana bbc walikua na makala ya tez dume sina hzo dalili. na hio ya kupungua nguvu za kiume sio dalili kubwa sana inayochuliwa uzito kwenye dalili za tezi dume
 
kuna mdau anatumia jina la "Mudushi" niliona katoa ushuhuda kua aliwahi kua na tatizo km langu na alitibiwa muhimbili kama yupo jaman naomba aje humu afunguke zaidi. au kama kuna mdau alishawahi pona kwa njia ya hospitalini anisaidie. naplan kwenda tena Hospital nyingine ya hadhi ya rufaa jmamosi nitachek watasemaje
 
kuna mdau anatumia jina la "Mudushi" niliona katoa ushuhuda kua aliwahi kua na tatizo km langu na alitibiwa muhimbili kama yupo jaman naomba aje humu afunguke zaidi. au kama kuna mdau alishawahi pona kwa njia ya hospitalini anisaidie. naplan kwenda tena Hospital nyingine ya hadhi ya rufaa jmamosi nitachek watasemaje
Nenda kwa TB JOSHUA utapona kupitia maombezi maana uliumbwa na mungu hivyo utapona tu.
 
Kunywa chai ya tangawizi ilyokolea vizuri mara nyingi, kula makongoro na supu yake, tafuna mbegu za mlonge tatu asubuhi na Tatu jioni, kula machungwa na mananasi, utaona matokeo.
 
Pole mkuu jaribu kwenda hospitali ukachunguzwe ili kujua kama una maradhi ya kisukari huwa inasababisha tatizo hilo ulilo nalo
 
Back
Top Bottom