punditt
Senior Member
- Feb 19, 2019
- 112
- 50
Habari !!, natumaini wote ni wazima wa afya bila kupotea mda acha niende kweye mada moja kwa moja!.
Wadau nilikuwa naomba ushauri wenu ,mm natarajia kumalizia chuo miezi ya hivi karibuni ,nimejaribu kujiwekea akiba nimefikisha kama kiasi cha mil. 1,000,000
ila mpaka sasa sijui biashara IPI nifanye kulingana na hali ya kiuchumi ya sasa maana me bado sina uzoefu kwenye biashara.
Naombeni mawazo yenu namini wote ni watafutaji, Leo kwangu kesho kwako"#
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau nilikuwa naomba ushauri wenu ,mm natarajia kumalizia chuo miezi ya hivi karibuni ,nimejaribu kujiwekea akiba nimefikisha kama kiasi cha mil. 1,000,000
ila mpaka sasa sijui biashara IPI nifanye kulingana na hali ya kiuchumi ya sasa maana me bado sina uzoefu kwenye biashara.
Naombeni mawazo yenu namini wote ni watafutaji, Leo kwangu kesho kwako"#
Sent using Jamii Forums mobile app