Wadau naombeni ushauri kuhusu miwani hii ya macho sijapigwa kweli hapa?

Wadau naombeni ushauri kuhusu miwani hii ya macho sijapigwa kweli hapa?

Andazi

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2022
Posts
1,113
Reaction score
2,234
Mimi ni mtu ambaye ninatumia computer for hours basi kutokana na kuumwa kwa kichwa, macho kuwasha (not all tge time but mara nyingi huisi macho kukaza)

Nilipima nikaonekana nipo fresh(mimi naona poa tu) ila ni alergy na mwanga

Dokta akasema ninunue miwani ya mwanga

Nilikaa baadae nikaenda kupima tena nipo fresh na ndio nikanunua hii miwani ila naona haina tofauti na ile ya kawaida hebu wakuu semeni sijapigwa?

Hii miwani naitumia nikiwa kazini tu na leo ndio naichukua sijawahi vaa miwani hata ya urembo ila inavuta kweli kwenye macho (sababu sijawahi vaa miwani)

Ila nashaka sio ya kupunguza mwanga bei nilinunua elf40
 
Wewe kweli andazi mkuu..
Hiyo miwani ipeleke kwenye clinic nyingine ya macho wakapime hizo lensi zake, alafu waombe ushauri kama itakufaa kwa mahataji na matumizi yako.
 
Wewe kweli andazi mkuu..
Hiyo miwani ipeleke kwenye clinic nyingine ya macho wakapime hizo lensi zake, alafu waombe ushauri kama itakufaa kwa mahataji na matumizi yako.
Duh lensi au vioo manaa mimi hii haina lensi ya kukuza sababu naona poa tu
 
Mimi ni mtu ambaye ninatumia computer for hours basi kutokana na kuumwa kwa kichwa, macho kuwasha (not all tge time but mara nyingi huisi macho kukaza)

Nilipima nikaonekana nipo fresh(mimi naona poa tu) ila ni alergy na mwanga

Dokta akasema ninunue miwani ya mwanga

Nilikaa baadae nikaenda kupima tena nipo fresh na ndio nikanunua hii miwani ila naona haina tofauti na ile ya kawaida hebu wakuu semeni sijapigwa?

Hii miwani naitumia nikiwa kazini tu na leo ndio naichukua sijawahi vaa miwani hata ya urembo ila inavuta kweli kwenye macho (sababu sijawahi vaa miwani)

Ila nashaka sio ya kupunguza mwanga bei nilinunua elf40

View attachment 3105736View attachment 3105737
Achana na miwani ya kupunguza mwanga kwani itaweza pia kuharibu macho kama huna matatizo ya kuona.

Pili punguza mwanga kwenye computer screen yako au smartphone badala ya kununua miwani.

Tatu punguza kukaa muda mrefu kwenye computer. Chukua break fupi kila nusu saa.

Kula sana vyakula vyenye vitamini A na C.
 
Back
Top Bottom