Nina wazo la Biashara, ambalo natamani nilifanye lakini sijajua mtaji wake ni Tshs ngapi ili niweze kuifanya biashara hii kwa ufanisi na kuwapa wateja wangu ile kitu roho inapenda, wazo lenyewe ni:
Nataka kufungua ukumbi wa kuonesha mipira ligi mbalimbali za ndani na nje ya Tanzania hususani ligi za ulaya! na nina mtaji wa Tshs 1,500,000/=,mchanganuo wake unakuwaje hapo, TV tayari ninazo mbili.
Je kwa hawa supersport garama zao inakuwaje?
Je pesa hii inatosha kuanzisha mradi/biashara hii ninayoipanga, naombeni ushauri wenu wadau ili niweze kujikwamua na tatizo la ukosefu wa ajira?
Naomba kuwasilisha.
Nataka kufungua ukumbi wa kuonesha mipira ligi mbalimbali za ndani na nje ya Tanzania hususani ligi za ulaya! na nina mtaji wa Tshs 1,500,000/=,mchanganuo wake unakuwaje hapo, TV tayari ninazo mbili.
Je kwa hawa supersport garama zao inakuwaje?
Je pesa hii inatosha kuanzisha mradi/biashara hii ninayoipanga, naombeni ushauri wenu wadau ili niweze kujikwamua na tatizo la ukosefu wa ajira?
Naomba kuwasilisha.