Wadau nataka kuchukua Goli Kariakoo

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,266
Reaction score
3,698
Wadau ushauri wenu nimepewa connection na ndugu yangu Kuna kigoli Kariakoo. Vipi wadau Sasa Kariakoo biashara kwa sasa ikoje nataka kuingia kuuza braa, chupi, tight za wadada za kuvaa na bana tumbo.

Napokea ushauri wenu wowote hata wa biashara mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…