malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Kiko location nzuri wanapita sana tu njia hiyoMchawi location & promo
Ndio yapo maduka jirani yanayouza bidhaa kama hizi nazotaka kuuzaSwali kwako, je iyo frame ipo karibu na maduka yanayouza bidhaa unazotaka kuuza?
Sijajua vzr lkn tafuta entry strategy nzuri utapiga hela vizuriKiko location nzuri wanapita sana tu njia hiyo
Hili swali ni muhimu sana, ngoja ajibu afu tuendelee kumshauri.Swali kwako, je iyo frame ipo karibu na maduka yanayouza bidhaa unazotaka kuuza?
Sawa go on hapo sawa.Ndio yapo maduka jiran yanayouza bidhaa kama hizi nazotaka kuuza
Ushatoboa, hapo uchawi ni "Skills" zako tu za kupambana.Ndio yapo maduka jiran yanayouza bidhaa kama hizi nazotaka kuuza
Ndio Iko karibuHili swali ni muhimu sana, ngoja ajibu afu tuendelee kumshauri.
Nje ya frem m10Mtaji ni kama shingapi hivi???
Fanya kazi mkuu kwa chupi za spesho na braah za ke unatosha kabisa uza na vigodoro kaka, jumla na rejareja....Nje ya frem m10
Acha niingie mzigoni japo Kariakoo maduka haya kuuza hivi vitu navigoli Yako mengi mno na yanazidi kuongezekaFanya kazi mkuu kwa chupi za spesho na braah za ke unatosha kabisa uza na vigodoro kaka, jumla na rejareja....
Sasa hilo si ndio tobo mkuuKiko location nzuri wanapita sana tu njia hiyo
Maduka kuwa mengi sio shida hata kidogo mkuu fanya unachotakiwa ufanye.Acha niingie mzigoni japo kariakoo maduka haya kuuza hivi vitu navigoli Yako mengi mno nayanazid kuongezeka
Kabisa ndio toboSasa hilo si ndio tobo mkuu
Nami nafanya hivo navotakiwa kufanyaMaduka kuwa mengi sio shida hata kidogo mkuu fanya unachotakiwa ufanye.