malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
- Thread starter
- #21
Asanteni sana KariakooPambana. Mteja mfalme. Jua nini kinatakiwa kwa muda. Karibu sana kkoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asanteni sana KariakooPambana. Mteja mfalme. Jua nini kinatakiwa kwa muda. Karibu sana kkoo
Uoga wako ndiyo umasikini wako.Wadau ushauri wenu nimepewa connection na ndugu yangu Kuna kigori kariakoo. vipi wadau Sasa kariakoo biashara kwa Sasa ikoje nataka kuingia kuuza braa, chupi, tight za wadada zakuvaa na zabana tumbo.
Napokea ushauri wenu wowote hata wa biashara mpya