inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
๐Jamani changieni basi,maana mchango wenu ni wa muhimu sana kwangu mimi Mtanzania.
Ninayo hii gari ipo poa kwa misele mjini.Wadau,kama nilivyisema hapo juu.Mimi ni kabwela tu hapa mjini "Common Man".Kipato kinategemeana na kupanda na kushuka kwa thamani ya dola.Sasa nimewaza,kutungua kitu show room siwezi.Kumvua mtu bei za Ist,Alex Runx kama zipo juu (Mind you hii ni kutokqna na uwezo wangu,usilete dhihaka zako)
Nataka nikamate ka usafiri humble tu,Corola X.Naombeni ushauri juu ya mambo ya hapa na pale ya kitalaamu.
Jamani changieni basi,maana mchango wenu ni wa muhimu sana kwangu mimi Mtanzania.
unatuchanganya babuWadau,kama nilivyisema hapo juu.Mimi ni kabwela tu hapa mjini "Common Man".Kipato kinategemeana na kupanda na kushuka kwa thamani ya dola.Sasa nimewaza,kutungua kitu show room siwezi.Kumvua mtu bei za Ist,Alex Runx kama zipo juu (Mind you hii ni kutokqna na uwezo wangu,usilete dhihaka zako)
Nataka nikamate ka usafiri humble tu,Corola X.Naombeni ushauri juu ya mambo ya hapa na pale ya kitalaamu.
Jamani changieni basi,maana mchango wenu ni wa muhimu sana kwangu mimi Mtanzania.
๐๐๐kijana acute ndinga hamna namna
Ushauri wako mkuu๐๐๐kijana acute ndinga hamna namna
Yeye anunue maana gari ni hitaji la 3 la binadamu.Ushauri wako mkuu
Ni gari moja poa tu dash board yake kidogo ingefanana na premio na alex, 1500, ni maarufu kama corola policeCorolla X ndio ikoje? Weka picha
Kijana amehamasika, jukumu ni lake sasa kujilipua๐๐๐kijana acute ndinga hamna namna
Itapendeza ukiweka hayo maitaji mengineo niyajue kabisa..Yeye anunue maana gari ni hitaji la 3 la binadamu.