Wadau nataka nikamate kitu Corola X, ushauri

Wadau nataka nikamate kitu Corola X, ushauri

Wadau wote mnaotoa michangongo yenu kunisaidia kimawazo mimi Kabwela "Common Man" nawashukuru sana.Ila bado naona kama ushauri wa kitaalam sana sijapata.Ndugu zangu wengine nwanapota tu hapa hata hawatupii chochote.Jamani sadaka siyo mpakanupeleke kwa nabii.Ukitoa mawazo yako hapa ni sadaka tosha na Mungu atakubariki.
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom