Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh una maanisha jina la chuo chako halipo kwny systems [emoji23][emoji23][emoji23]nimefikia hatua hii lakini tatizo linakuja pale napotaka kujaza jina la chuo kwenye orodha halipo. nimesoma University of Iringa (UoI)
View attachment 2197256
Zamani tulikiita Tumaini University, Iringa University College! Umejaribu kuangalia majina hayo?nimefikia hatua hii lakini tatizo linakuja pale napotaka kujaza jina la chuo kwenye orodha halipo. nimesoma University of Iringa (UoI)
View attachment 2197256
hapo kwenye select course ndo inazinzua kama vile kuna option zao za kuselect lakn hazifungukii.....kwa anaejua jinsi ya kuruka hiki kiunziiinimefikia hatua hii lakini tatizo linakuja pale napotaka kujaza jina la chuo kwenye orodha halipo. nimesoma University of Iringa (UoI)
View attachment 2197256
Nimejaribu mkuu lakini hakuna kitu. wananiandikia UNIV- UNIVERSITY OF IRINGA. Nikiweka hili jina hawanifungulii ehemu ya kuandika mwaka wa kuhitimu na kuapload vyetiZamani tulikiita Tumaini University, Iringa University College! Umejaribu kuangalia majina hayo?
Select other ipo chini andika jina la chuo maisha ya yaendeleeNimejaribu mkuu lakini hakuna kitu. wananiandikia UNIV- UNIVERSITY OF IRINGA. Nikiweka hili jina hawanifungulii ehemu ya kuandika mwaka wa kuhitimu na kuapload vyeti
Hiki ni kiuzi kizito mkuu, mimi nimefeli aisee halafu kwenye kuchagua mikoa ni mziki mnenehapo kwenye select course ndo inazinzua kama vile kuna option zao za kuselect lakn hazifungukii.....kwa anaejua jinsi ya kuruka hiki kiunziii