Unataka kuwekeza kwenye betting kwa mtaji wa kiasi gani? Namatumaini yako yakushinda yapo kwakiasi gani?
Kubet kwenyewe ni kazi kama sio kazi jaribu uone joto lake la dakika 90 ndio utajua ni kazi ngumu kuliko hiyo unayoifanya1.Jiandae kuwa teja wa kamari.
2.Jiandae kukonda mifupa ya taya itoke nje kama mzee a miaka 80.
3. Jiandae na pressure na kisukari.
Kwanini usifanye kazi mzee?
Kwa leo chukuwa laki mpe yanga mazima na magoli mawili utanishikuru baadaeNimeuliza tu kama naweza kujikwamua kiuchumi kwa KUBET?
Ni kampuni gani naweza kubet mechi Moja Nina laki tano ya marejesho hapa.Kwa leo chukuwa laki mpe yanga mazima na magoli mawili utanishikuru baadae
Hiyo ni sawa na kusema naweza kulewa kwa kunywa cocaine?Nimeuliza tu kama naweza kujikwamua kiuchumi kwa KUBET?