Kilimo chenyewe unabeti tuu....mpaka mvua zije kwa wakatiKwanini uishi kwa kubahatisha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilimo chenyewe unabeti tuu....mpaka mvua zije kwa wakatiKwanini uishi kwa kubahatisha!
🤣🤣🤣🤣Hiyo ya kubeti buku au mia tano uwe tajiri? dhubutu
Kazi zingekuwepo tungefanya.Vijana fanyeni kazi mpate pesa habari za betting ni akili ndogo
BetpawaNi kampuni gani naweza kubet mechi Moja Nina laki tano ya marejesho hapa.
Kilimo pia ni kazi hamuitaki kisa mna videgree vyenu uchwaraKazi zingekuwepo tungefanya.
Msituletee zenu hapa oh vijana mnachagua kazj. Ujinga wakusifia mtu mwenye maasters kuuza makande pelekeni kwenu.
Wacha vijana wajaribu bahati yao
Wewe kilimo chenyewe kubet tuu nako. Mnasema nchi inategemea kilimo alafu ata factory ya farming machinery hamna. Tuache masilhara bwana sie tunafanya kilimo cha survival. Wacha vijana tubet kama hivi leo yanga kashanipa hela ya mwezi mzima wa september.Kilimo pia ni kazi hamuitaki kisa mna videgree vyenu uchwara
Ahsante kwa kunihamasisha ndugu.Wewe kilimo chenyewe kubet tuu nako. Mnasema nchi inategemea kilimo alafu ata factory ya farming machinery hamna. Tuache masilhara bwana sie tunafanya kilimo cha survival. Wacha vijana tubet kama hivi leo yanga kashanipa hela ya mwezi mzima wa september.
Kubet ajira ujanja ni kuacha tamaaa tuu