Mama_Aheshimiwe
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,746
- 4,165
Kuna rangi za nguo unafulia au ukitaka urahisi fulia dai/dye/die ila usiwe unazifua mara kwa mara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka pichaKaribu Kwa ushauri bado nazipenda na zimewahi kupauka kabla ya muda shubaaaamitt!!!
Kilazer ni yule ambaye miaka zaidi ya 27 unakula ugali wa shikamoo, kila kitu unataka utafuniwe ww kula tu mpaka maswali ya kipuuzi unakuja kutu uliza humu.shughulisha akili yako....acha ujingaNyie wote ni vilazer
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii jamii forum ya siku hizi kazi ipo. !!!
Zifue kwa LAMIKaribu Kwa ushauri bado nazipenda na zimewahi kupauka kabla ya muda shubaaaamitt!!!
Tafuta oil chafu uzilowekeKaribu Kwa ushauri bado nazipenda na zimewahi kupauka kabla ya muda shubaaaamitt!!!
zichemshe
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]piga kiwi