LIGANGALEO
Member
- Mar 10, 2014
- 19
- 1
Wadau
Nimetoka Jimboni kufanya Survey ya jinsi ya kuzungukia Kata zote mwakani.
Kwa kweli nahitaji Hard Top maana Kata zipo Milimani sana na ili kulitoa Gamba sina budi kuweka kambi na kuzungukia Kata zote.
Na kwa kuwa nina utaalamu na magari, ni Hard Top tu ndio inayoweza kukamilisha azma hiyo. Hivyo imenibidi nipunguze bei ya nyumba hii (Unifinished House) ili nipate pesa haraka iwezekanavyo.
Bei ya sasa ni Ml. 95
Nyumba ina hati na ipo Madale, Dar es Salaam. Ramani ya Nyumba ni Ghorofa moja ikiwa na Lounge, Kitchen, Store, Lobby, Pantry na Chumba kimoja chini chenye choo na bafu ndani pamoja na Public Toilet ya kawaida kwa wageni.
Ramani ya juu kuna VIP Lounge,Study Room, Master Bed Room na vyumba vingine viwili vinavyojitegemea kwa choo na bafu. Ukubwa wa eneo ni Square Meter 1203. Servant Quarter kwa ajili ya mlinzi imekamilika kama inavyonekana.
Wanajamvi karibuni.
0713 81 08 03
Nimetoka Jimboni kufanya Survey ya jinsi ya kuzungukia Kata zote mwakani.
Kwa kweli nahitaji Hard Top maana Kata zipo Milimani sana na ili kulitoa Gamba sina budi kuweka kambi na kuzungukia Kata zote.
Na kwa kuwa nina utaalamu na magari, ni Hard Top tu ndio inayoweza kukamilisha azma hiyo. Hivyo imenibidi nipunguze bei ya nyumba hii (Unifinished House) ili nipate pesa haraka iwezekanavyo.
Bei ya sasa ni Ml. 95
Nyumba ina hati na ipo Madale, Dar es Salaam. Ramani ya Nyumba ni Ghorofa moja ikiwa na Lounge, Kitchen, Store, Lobby, Pantry na Chumba kimoja chini chenye choo na bafu ndani pamoja na Public Toilet ya kawaida kwa wageni.
Ramani ya juu kuna VIP Lounge,Study Room, Master Bed Room na vyumba vingine viwili vinavyojitegemea kwa choo na bafu. Ukubwa wa eneo ni Square Meter 1203. Servant Quarter kwa ajili ya mlinzi imekamilika kama inavyonekana.
Wanajamvi karibuni.
0713 81 08 03
