Wadau nimeshanasa Kwa single mazeri

Wadau nimeshanasa Kwa single mazeri

The lastborn9319

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2021
Posts
852
Reaction score
1,745
Nianze tu kwa kusema,Mimi ni miongoni mwa watu ambao ni against single mothers,lakini wahenga walisema "usitukane mto kabla ya kuvuka mamba"..huyu single mother ni mzuuuri balaa, yuko fresh kila idara ana Mt*ko wa kwenda,kasura sasa kama beyonce huyu hapa..kwenye mapenzi ndo usiseme,hapa ndo nilipokwama baharia,unajua mi mi mzee wa tungi,basi huwezi amini single mother ananifuata hadi bar,kapiga marufuku baa zote hapa mtaani kuniuzia pombe kudadeki hataki utani,jana tu kanikuta nipo na malaya kwenye grocery flani hv tunamwagilia moyo,basi umepigwa mkono unaweza kudhani ni mandonga mtu kazi na kaoneka,msela nikachimba..sasa leo nimeamka nawaza huyu demu Kwa nini asiwe maza house,kwani Kuna ubaya gani ye kuwa na mtoto..eti wadau nipeni ushauri,nimeshanasa
 
Nianze tu kwa kusema,Mimi ni miongoni mwa watu ambao ni against single mothers,lakini wahenga walisema "usitukane mto kabla ya kuvuka mamba"..huyu single mother ni mzuuuri balaa, yuko fresh kila idara ana Mt*ko wa kwenda,kasura sasa kama beyonce huyu hapa..kwenye mapenzi ndo usiseme,hapa ndo nilipokwama baharia,unajua mi mi mzee wa tungi,basi huwezi amini single mother ananifuata hadi bar,kapiga marufuku baa zote hapa mtaani kuniuzia pombe kudadeki hataki utani,jana tu kanikuta nipo na malaya kwenye grocery flani hv tunamwagilia moyo,basi umepigwa mkono unaweza kudhani ni mandonga mtu kazi na kaoneka,msela nikachimba..sasa leo nimeamka nawaza huyu demu Kwa nini asiwe maza house,kwani Kuna ubaya gani ye kuwa na mtoto..eti wadau nipeni ushauri,nimeshanasa
Shikikilia hapo hapo.
 
Nianze tu kwa kusema,Mimi ni miongoni mwa watu ambao ni against single mothers,lakini wahenga walisema "usitukane mto kabla ya kuvuka mamba"..huyu single mother ni mzuuuri balaa, yuko fresh kila idara ana Mt*ko wa kwenda,kasura sasa kama beyonce huyu hapa..kwenye mapenzi ndo usiseme,hapa ndo nilipokwama baharia,unajua mi mi mzee wa tungi,basi huwezi amini single mother ananifuata hadi bar,kapiga marufuku baa zote hapa mtaani kuniuzia pombe kudadeki hataki utani,jana tu kanikuta nipo na malaya kwenye grocery flani hv tunamwagilia moyo,basi umepigwa mkono unaweza kudhani ni mandonga mtu kazi na kaoneka,msela nikachimba..sasa leo nimeamka nawaza huyu demu Kwa nini asiwe maza house,kwani Kuna ubaya gani ye kuwa na mtoto..eti wadau nipeni ushauri,nimeshanasa
"usitukane mto kabla ya kuvuka mamba"

Ila hawa wanawake wabarikiwe sana kwaakweli
 
Nianze tu kwa kusema,Mimi ni miongoni mwa watu ambao ni against single mothers,lakini wahenga walisema "usitukane mto kabla ya kuvuka mamba"..huyu single mother ni mzuuuri balaa, yuko fresh kila idara ana Mt*ko wa kwenda,kasura sasa kama beyonce huyu hapa..kwenye mapenzi ndo usiseme,hapa ndo nilipokwama baharia,unajua mi mi mzee wa tungi,basi huwezi amini single mother ananifuata hadi bar,kapiga marufuku baa zote hapa mtaani kuniuzia pombe kudadeki hataki utani,jana tu kanikuta nipo na malaya kwenye grocery flani hv tunamwagilia moyo,basi umepigwa mkono unaweza kudhani ni mandonga mtu kazi na kaoneka,msela nikachimba..sasa leo nimeamka nawaza huyu demu Kwa nini asiwe maza house,kwani Kuna ubaya gani ye kuwa na mtoto..eti wadau nipeni ushauri,nimeshanasa
Subili nitoke kanisani
 
Aisee mkuu wewe piga lakini usijenge kibanda. Hapa nimetoka kumkimbia single maza anililia, kilichonifanya nikimbie ni kwamba alitaka nizae nae. Nikaona hii chenga hapa hapa ndo muda muafaka wa kumkimbia. Pia nilichojua ni kwamba kama mwanamke huna mpango nae usipige show ya kibabe. Ni ushauri tuu unaweza kuuchukua au kuuacha.
 
Back
Top Bottom