Wadau nimeshanasa Kwa single mazeri

Wadau nimeshanasa Kwa single mazeri

Aisee mkuu wewe piga lakini usijenge kibanda. Hapa nimetoka kumkimbia single maza anililia, kilichonifanya nikimbie ni kwamba alitaka nizae nae. Nikaona hii chenga hapa hapa ndo muda muafaka wa kumkimbia. Pia nilichojua ni kwamba kama mwanamke huna mpango nae usopige show ya kibabe. Ni ushauri tuu unaweza kuuchukua au kuuacha.
Shoo ya kibabe ndo ikoje!!!!
 
Wasikutishe Sana,
Mi ninao Mchepuko single mother.
Yuko POA Sana kiukweli kuzid hata kina mamaJ pasua kichwa wasio na watoto

Changamoto yake
Ni muumini wa ushirikina TU.
Kitu kidg tu tayar keshaamini karogwa
Mkuu umesahau yule single mama wako fundi chereheni alikupeleka kwa mganga sasa na huyu nae atapelekwa lazima
 
Nilipata mrejesho kutoka Kwa wadau waliohudhuria kikao kwamba mlikubaliana singo maza akionesha mapenzi sana si mbaya baharia akichukua mazima"...au waliniingiza chaka
Kichakani na utaingia msituni hivi karibuni.Swali la kujiuliza, aliyemzalisha kaenda wapi na hakuona hilo zigo na vibastola unavyoona wewe leo?
 
Umechelewa kuwajua Singo Maza.


Aiseeee Hawa viumbe kwanza ni wasafiii, alafu kwenye mbususus wanakupa yoteyote mpaka unamwaga ubongo.


Kunaa Mmoja huku ni ana watoto watatu, Binti yake mkubwa Yuko na 21 .

Huyu Maza, amenonaa, zari Si zari, Kajala sio Kajala

Nyiiiieeee , wee acha


Kuna ile moment Huwa naipenda Anapokua anavua Dela lake, uwiii analivutaa, analipandisha juu, linakua kama limefunika uson, basi nabaki naangalia mwili wake, woooooi minofuuu, Takoooo jamaan anatakooo kubaaaa uwii hahahaha.


Alafu anavyokata uno !!!

Siri yangu, ila nafaidiiii
kiongozi unafaidi 😂
 
Nianze tu kwa kusema,Mimi ni miongoni mwa watu ambao ni against single mothers,lakini wahenga walisema "usitukane mto kabla ya kuvuka mamba"..huyu single mother ni mzuuuri balaa, yuko fresh kila idara ana Mt*ko wa kwenda,kasura sasa kama beyonce huyu hapa..kwenye mapenzi ndo usiseme,hapa ndo nilipokwama baharia,unajua mi mi mzee wa tungi,basi huwezi amini single mother ananifuata hadi bar,kapiga marufuku baa zote hapa mtaani kuniuzia pombe kudadeki hataki utani,jana tu kanikuta nipo na malaya kwenye grocery flani hv tunamwagilia moyo,basi umepigwa mkono unaweza kudhani ni mandonga mtu kazi na kaoneka,msela nikachimba..sasa leo nimeamka nawaza huyu demu Kwa nini asiwe maza house,kwani Kuna ubaya gani ye kuwa na mtoto..eti wadau nipeni ushauri,nimeshanasa
wala usimtilie maanani we enjoy zamu yako ukichoka sepa kama jamaa alivyosepa. usitake kumfunga awe wako peke yako utaumia tena uache huo ubinafsi . kiroho safi kama jamaa venye kakupokeza kijiti
it's just your turn bother.
 
Singeli mazeri wote wako hivyo! Utalishwa ma nanihii mpaka ukome!
u desrve ''AMEEN'' for this comment bro . Umetisha kaka, lazima wawe poa lazima wawe wanyonge . kuna mjanja atakae jivunia kuplay another man saved games?
 
Back
Top Bottom