Mbarikiwe sanaHongera sana mkuu,single mom hatuna shida....wanaotuharibia ni wale wapenda geuka nyuma kuishia nguzo ya chumvi.Singlemoms wrote tafadhali X harudiwi mwee
AminaMbarikiwe sana
Mko nafasi ya pekee sana kwenye mioyo yetu.
Lijamaa lipo huko umatumbini mzeAmekuonesha kaburi la baba wa mtoto mwanetu?
Ila mna mapenzi flani hadi nashtuka,unajua sometimes najiuliza " huyu ana lengo gani,kuna kitu anatafuta kutoka kwangu"Hongera sana mkuu,single mom hatuna shida....wanaotuharibia ni wale wapenda geuka nyuma kuishia nguzo ya chumvi.Singlemoms wrote tafadhali X harudiwi mwee
Hakuna,ni upendo tu tunaangushia kwa mtu mliyependana....hutaki kukosea tena ivo lazima ulitunze penz lakoIla mna mapenzi flani hadi nashtuka,unajua sometimes najiuliza " huyu ana lengo gani,kuna kitu anatafuta kutoka kwangu"
Huyo ni wako mwamba,kama ameweza hata kudhibiti kwenye mitungi,basi wewe pambania kombe mwana😂Nianze tu kwa kusema,Mimi ni miongoni mwa watu ambao ni against single mothers,lakini wahenga walisema "usitukane mto kabla ya kuvuka mamba"..huyu single mother ni mzuuuri balaa, yuko fresh kila idara ana Mt*ko wa kwenda,kasura sasa kama beyonce huyu hapa..kwenye mapenzi ndo usiseme,hapa ndo nilipokwama baharia,unajua mi mi mzee wa tungi,basi huwezi amini single mother ananifuata hadi bar,kapiga marufuku baa zote hapa mtaani kuniuzia pombe kudadeki hataki utani,jana tu kanikuta nipo na malaya kwenye grocery flani hv tunamwagilia moyo,basi umepigwa mkono unaweza kudhani ni mandonga mtu kazi na kaoneka,msela nikachimba..sasa leo nimeamka nawaza huyu demu Kwa nini asiwe maza house,kwani Kuna ubaya gani ye kuwa na mtoto..eti wadau nipeni ushauri,nimeshanasa
Kwani kwenye kikao tulisema sio wazuri au watamu ila endelea, kitakachofuata sisi tulishanawa mikono.Ndo shida ya kulala vikaoniNianze tu kwa kusema,Mimi ni miongoni mwa watu ambao ni against single mothers,lakini wahenga walisema "usitukane mto kabla ya kuvuka mamba"..huyu single mother ni mzuuuri balaa, yuko fresh kila idara ana Mt*ko wa kwenda,kasura sasa kama beyonce huyu hapa..kwenye mapenzi ndo usiseme,hapa ndo nilipokwama baharia,unajua mi mi mzee wa tungi,basi huwezi amini single mother ananifuata hadi bar,kapiga marufuku baa zote hapa mtaani kuniuzia pombe kudadeki hataki utani,jana tu kanikuta nipo na malaya kwenye grocery flani hv tunamwagilia moyo,basi umepigwa mkono unaweza kudhani ni mandonga mtu kazi na kaoneka,msela nikachimba..sasa leo nimeamka nawaza huyu demu Kwa nini asiwe maza house,kwani Kuna ubaya gani ye kuwa na mtoto..eti wadau nipeni ushauri,nimeshanasa
Singeli mazeri wote wako hivyo! Utalishwa ma nanihii mpaka ukome!Changamoto yake
Ni muumini wa ushirikina TU.
Kitu kidg tu tayar keshaamini karogwa
Nilipata mrejesho kutoka Kwa wadau waliohudhuria kikao kwamba mlikubaliana singo maza akionesha mapenzi sana si mbaya baharia akichukua mazima"...au waliniingiza chakaKwani kwenye kikao tulisema sio wazuri au watamu ila endelea, kitakachofuata sisi tulishanawa mikono.Ndo shida ya kulala vikaoni
OyooooooHongera sana mkuu,single mom hatuna shida....wanaotuharibia ni wale wapenda geuka nyuma kuishia nguzo ya chumvi.Singlemoms wrote tafadhali X
Uliongopewa na mtoro mwenzio. Siku nyingine jitahidi uhudhurie vikao mpuuzi wewe!Nilipata mrejesho kutoka Kwa wadau waliohudhuria kikao kwamba mlikubaliana singo maza akionesha mapenzi sana si mbaya baharia akichukua mazima"...au waliniingiza chaka