Wadau nimeshanasa Kwa single mazeri

Shoo ya kibabe ndo ikoje!!!!
 
Wasikutishe Sana,
Mi ninao Mchepuko single mother.
Yuko POA Sana kiukweli kuzid hata kina mamaJ pasua kichwa wasio na watoto

Changamoto yake
Ni muumini wa ushirikina TU.
Kitu kidg tu tayar keshaamini karogwa
Mkuu umesahau yule single mama wako fundi chereheni alikupeleka kwa mganga sasa na huyu nae atapelekwa lazima
 
Nilipata mrejesho kutoka Kwa wadau waliohudhuria kikao kwamba mlikubaliana singo maza akionesha mapenzi sana si mbaya baharia akichukua mazima"...au waliniingiza chaka
Kichakani na utaingia msituni hivi karibuni.Swali la kujiuliza, aliyemzalisha kaenda wapi na hakuona hilo zigo na vibastola unavyoona wewe leo?
 
kiongozi unafaidi 😂
 
wala usimtilie maanani we enjoy zamu yako ukichoka sepa kama jamaa alivyosepa. usitake kumfunga awe wako peke yako utaumia tena uache huo ubinafsi . kiroho safi kama jamaa venye kakupokeza kijiti
it's just your turn bother.
 
Singeli mazeri wote wako hivyo! Utalishwa ma nanihii mpaka ukome!
u desrve ''AMEEN'' for this comment bro . Umetisha kaka, lazima wawe poa lazima wawe wanyonge . kuna mjanja atakae jivunia kuplay another man saved games?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…