Waulize wenyeji namna ya kuzuia,au zidisha ibada na maombiAsnt ushauri please...
Nimechukua na huku kwao n michezo ya kawaid kwao so hadi mtu uweke Ant chumalete
Hakuna cha chuma ulete wala nini.Naandika haya kutokana na yanayojiri katika biashara zangu
Niliwah fanya biashara kimara na nilipata maendeleo mazur kabiashara ila nilihama kwakuw ndio home boi
Sasa baada ya kuhama nmekuja huku kucn mwa Tz (Mtwara)
Kwa sasa nko na miezi na 8 katika biashara yangu (mobile money) ila ckuw naamin kuhusu chuma ulete ila kwa sasa huku kunifanya niamin kwakuw kila baada ya 1 au wiki nakutana na upotevu wa ela nyingi hadi biashara inashuka kbsa
Wadau nipen uzoez na ujanja wakukwepa chuma ulete kamishen nzuri ila mtaji unakufa kwahyo ni kaz bure ....
mkuu kama hayajakukuta haya mambo huwezi elewa!!tuachie sisi wahanga wa haya mambo tupeane ushauri!!daaaa hakuna mtu aliyekuwa mbishi kama mimi ila yaliyonikuta sitasahau maishani!ili bidi nimtoe mfanyakazi ili niuze mimi nione na kila pesa niliyokuwa naipokea nilikuwa naitandaza sakafuni na kuifunika na kokoto ili isipeperuke nione zinapoteaje,baada ya kufunga biashara nikaanza kuzikusanya karibu chumba kizima nilikuwa nimezitaawanya!!my God nakuta 90,000!!hakunaBaaah bwana weweee usiamini ushirikina chunguza chanzo cha upotevu wa pesa zako chaaaaa.
mkuu nenda tandika kawaulizie watu wa mpesa/airtel money wanavyolia hadi wanafunga biashara!!!haya mambo huwezi kuyajua kama haya jakukutaHakuna cha chuma ulete wala nini.
Ni matumizi na matanuzi yako yasiyo na mpango.
Hizo fedha hebu ziingize benki au mpesa halafu tuambie kama wamezifuata huko huko.
Duuh ilikuwa balaa mkuu khaaamkuu kama hayajakukuta haya mambo huwezi elewa!!tuachie sisi wahanga wa haya mambo tupeane ushauri!!daaaa hakuna mtu aliyekuwa mbishi kama mimi ila yaliyonikuta sitasahau maishani!ili bidi nimtoe mfanyakazi ili niuze mimi nione na kila pesa niliyokuwa naipokea nilikuwa naitandaza sakafuni na kuifunika na kokoto ili isipeperuke nione zinapoteaje,baada ya kufunga biashara nikaanza kuzikusanya karibu chumba kizima nilikuwa nimezitaawanya!!my God nakuta 90,000!!hakuna
Yani yakikukuta ndo unaaminimkuu nenda tandika kawaulizie watu wa mpesa/airtel money wanavyolia hadi wanafunga biashara!!!haya mambo huwezi kuyajua kama haya jakukuta
Bank hawezi ibaa ilaa pesa uliyonayo wewe ndo chuma ulete inabeba mkuu.. Usiwe mbishi kabisaa na weni chuma ulete huwa Wanakuja na style ya Kuomba chenjii..Hakuna cha chuma ulete wala nini.
Ni matumizi na matanuzi yako yasiyo na mpango.
Hizo fedha hebu ziingize benki au mpesa halafu tuambie kama wamezifuata huko huko.