Wadau nipeni uzoefu na ujanja wa kukwepa chuma ulete

Wadau nipeni uzoefu na ujanja wa kukwepa chuma ulete

Chuma ulete ime advance siku hizi .wala hana haja ya kuja kwako dukani na kuomba chenji au kununua kitu.Anapita tu barabaran kumbe tayar kashachukua elfu 10.na uwezi amini siku hizi vijana wadogo tu mjini ma brother man wana uchawi wa chuma ulete.
 

Kinga nzuri dhidi ya chuma ulete​

Kinga nzuri dhidi ya chuma ulete.jpg

Je unaijua Chuma ulete...? Kwa kisukuma wanaita *BHUGINDU
Na je unafahamu kinga yake na zuio ili wasikuibie pesa, unga, au chochote ndani mwako....?

Dawa ya kukinga ni hii ukipata mkaa ulio dondoka njiani basi uchukue nenda kauweke kwenye kapu la pesa ukiwa pamoja na tunda lile la njano la ndulele unaviweka pamoja.
Ili huyo mwenye chuma ulete pia ili asiweze kuingia ndani kwako kukwiba unga, pesa na chochote kile basi pale mlangoni unapoingilia napo ning'iniza ndulele na huo mkaa ukiwa umeuweka pamoja au ufunge kwenye kitambaa cheusi kisha uning'inize kwa mlango wako hutokaa uone hata chuma ulete anayekuja kukwibia vitu dukani au nyumbani kwako akijaribu ataumbuka mchana kweupe
 
Kitu nilicho gundua kwenye chuma ulete uwa wqnakaa kwenye biashara ndogo Kama biashara yako ipo na mtaji wa million 10 utasikia story za chuma ulete amini kwamba
 
Kitu nilicho gundua kwenye chuma ulete uwa wqnakaa kwenye biashara ndogo Kama biashara yako ipo na mtaji wa million 10 utasikia story za chuma ulete amini kwamba

Huwa naepuka sana marafiki wanaodhani milioni 10 ni pesa nyingi [emoji276]
 
tafuta bange changanya kwenye hizo hela, ikishindikana hii basi kuna mtu anakuibia
 
Nilipata tatizo la chuma ulete kwenye biashara ya duka la vyombo Makuburi Dsm mwaka 2016 aisee nilikua sioni faida na mtaji ukawa unalika balaa.

Nilishauriwa na wasamalia wema wa mtaa ule walioona duka langu lililokua mwanzo limejaa likawa linaporomoka siku hadi siku. Nikaunganishwa na mtaalam.

Ni dawa flan ivi ya maji nilipewa na Mzee Lugendo wa kijiji flani kinaanzia na herufi "K" wilaya ya Handeni ...aisee ni kiboko ya chuma ulete. Na akanielekeza siku nyingine kwenye biashara yoyote nikipata changamoto ni Kwato tu au mfupa wa mnyama flan unatwangia na majani ya mti flan maarufu saana na maji then unamwaga kwenye mlango wa duka au nyumbani kwako kama mstari flani afu unapita kwa kuruka then endelea na mishemishe
 
Naandika haya kutokana na yanayojiri katika biashara zangu

Niliwahi kufanya biashara Kimara na nilipata maendeleo mazuri kibiashara ila nilihama kwakuwa ndio home boi

Sasa baada ya kuhama nimekuja huku Kusina mwa Tanzania (Mtwara)
Kwa sasa niko na miezi na 8 katika biashara yangu (mobile money) ila sikuwa naamini kuhusu chuma ulete ila kwa sasa huku kunifanya niamin kwakuwa kila baada ya 1 au wiki nakutana na upotevu wa ela nyingi hadi biashara inashuka kabisa

Wadau nipeni uzoefu na ujanja wa kukwepa chuma ulete kamisheni ni nzuri ila mtaji unakufa kwahiyo ni kazi bure ....
Hii ndio mtwara a.k.a Dubai ndogo,umajiangaria katika matumizi yako?usije ukapeleka Mambo ya kimara huko,pigo ya elfu kmi huko unaweza usielewa,azaa usafiri wa kufika ofisini,kula yako toka asubuhi Hadi jioni,matumizi mengine,maana katika mikoa ambayo Ina maisha ya hali na mtwara ipo.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Nilipata tatizo la chuma ulete kwenye biashara ya duka la vyombo Makuburi Dsm mwaka 2016 aisee nilikua sioni faida na mtaji ukawa unalika balaa.

Nilishauriwa na wasamalia wema wa mtaa ule walioona duka langu lililokua mwanzo limejaa likawa linaporomoka siku hadi siku. Nikaunganishwa na mtaalam.

Ni dawa flan ivi ya maji nilipewa na Mzee Lugendo wa kijiji flani kinaanzia na herufi "K" wilaya ya Handeni ...aisee ni kiboko ya chuma ulete. Na akanielekeza siku nyingine kwenye biashara yoyote nikipata changamoto ni Kwato tu au mfupa wa mnyama flan unatwangia na majani ya mti flan maarufu saana na maji then unamwaga kwenye mlango wa duka au nyumbani kwako kama mstari flani afu unapita kwa kuruka then endelea na mishemishe
Mbona flani Flani nyingi sana mkuu[emoji1][emoji1]
 
Kiuhalisia hakuna chuma ulete ila kiimani kuna chuma ulete, na hii ilikuja ili kurahisisha majibu baadhi ya maswali yakwamba kwann biashara yangu haikui? Kwann pesa yangu niliyoweka mfukoni imepotea?
 
Kiuhalisia hakuna chuma ulete ila kiimani kuna chuma ulete, na hii ilikuja ili kurahisisha majibu baadhi ya maswali yakwamba kwann biashara yangu haikui? Kwann pesa yangu niliyoweka mfukoni imepotea?
Uko sahihi kabisa ila sidhani kama watakuelewa, kama ni kweli kwanini wasiende kufanyia benki watajirike
 
Naandika haya kutokana na yanayojiri katika biashara zangu

Niliwahi kufanya biashara Kimara na nilipata maendeleo mazuri kibiashara ila nilihama kwakuwa ndio home boi

Sasa baada ya kuhama nimekuja huku Kusina mwa Tanzania (Mtwara)
Kwa sasa niko na miezi na 8 katika biashara yangu (mobile money) ila sikuwa naamini kuhusu chuma ulete ila kwa sasa huku kunifanya niamin kwakuwa kila baada ya 1 au wiki nakutana na upotevu wa ela nyingi hadi biashara inashuka kabisa

Wadau nipeni uzoefu na ujanja wa kukwepa chuma ulete kamisheni ni nzuri ila mtaji unakufa kwahiyo ni kazi bure ....
Toa fungu la kumi, utakuja kunishukuru baadae
 
Hapo kwenye kuuza zaidi ndipo kwenye chuma ulete sasa, wateja huwa wanakimbilia sana sehemu ambayo muuzaji hayuko makini,aidha anazidisha chenji au anazidisha kipimo, kama ni wewe mwenyewe unauza jitafakari. Kama anauza kijana wako ebu jaribu kumpumzisha wiki moja uone wateja watakavyopotea. Hakuna kitu kinaitwa chuma ulete, ni upuuzi wetu tu
Hapa napata faid zaidi lakn ndio wanaibia zaid hadi hyo faida inarud kwa mtaji...
 
Uliingia kichwakichwa, hukuonana na wazee. Jishushe na uonane nao, unipe mrejesho.
 
Bank na Ikulu sio mahali kwa kutania mzee...!! Kule kwa motoo Sana unadhani kuchota pesa bank in rahisi oohoo...Uchawi unadundaa pale... Sawa na MTU utake kumloga Jiwee...haa ha ha
Nimesikitika alilogwa vizuri na tulishazika
 
Hapa napata faid zaidi lakn ndio wanaibia zaid hadi hyo faida inarud kwa mtaji...
Kuna mtu anakuibia ela unayefanya nae kazi, mtu wa karibu Sana na usietegemea kabisa. Alikuwa ananyofoa mdogo mdogo Sasa matumizi yake yamekua.

Weka utaratibu mzuri wa kuhesabu hela. Sehemu unapohifadhi ela wewe pekeyako ndio uweze kuchukua.

Usimwamini yoyote.

Kuamini ushirikina Ni ufala sana. Uvivu wa kufikiri na ujinga uliopitiliza lkn bahati mbaya tumeaminishwa tokea tuko watoto kabisa lkn Ni ujinga mtupu
 
Naandika haya kutokana na yanayojiri katika biashara zangu

Niliwahi kufanya biashara Kimara na nilipata maendeleo mazuri kibiashara ila nilihama kwakuwa ndio home boi

Sasa baada ya kuhama nimekuja huku Kusina mwa Tanzania (Mtwara)
Kwa sasa niko na miezi na 8 katika biashara yangu (mobile money) ila sikuwa naamini kuhusu chuma ulete ila kwa sasa huku kunifanya niamin kwakuwa kila baada ya 1 au wiki nakutana na upotevu wa ela nyingi hadi biashara inashuka kabisa

Wadau nipeni uzoefu na ujanja wa kukwepa chuma ulete kamisheni ni nzuri ila mtaji unakufa kwahiyo ni kazi bure ....
Dawa ya chuma ulete ni kutokuamini chuma ulete na kutafuta chanzo cha upotevu wa fedha. Tatizo liko kwa muuzaji ankuibia au hajui kurudisha chenji
 
Back
Top Bottom