Kitu nilicho gundua kwenye chuma ulete uwa wqnakaa kwenye biashara ndogo Kama biashara yako ipo na mtaji wa million 10 utasikia story za chuma ulete amini kwamba
Hii ndio mtwara a.k.a Dubai ndogo,umajiangaria katika matumizi yako?usije ukapeleka Mambo ya kimara huko,pigo ya elfu kmi huko unaweza usielewa,azaa usafiri wa kufika ofisini,kula yako toka asubuhi Hadi jioni,matumizi mengine,maana katika mikoa ambayo Ina maisha ya hali na mtwara ipo.Naandika haya kutokana na yanayojiri katika biashara zangu
Niliwahi kufanya biashara Kimara na nilipata maendeleo mazuri kibiashara ila nilihama kwakuwa ndio home boi
Sasa baada ya kuhama nimekuja huku Kusina mwa Tanzania (Mtwara)
Kwa sasa niko na miezi na 8 katika biashara yangu (mobile money) ila sikuwa naamini kuhusu chuma ulete ila kwa sasa huku kunifanya niamin kwakuwa kila baada ya 1 au wiki nakutana na upotevu wa ela nyingi hadi biashara inashuka kabisa
Wadau nipeni uzoefu na ujanja wa kukwepa chuma ulete kamisheni ni nzuri ila mtaji unakufa kwahiyo ni kazi bure ....
Mbona flani Flani nyingi sana mkuu[emoji1][emoji1]Nilipata tatizo la chuma ulete kwenye biashara ya duka la vyombo Makuburi Dsm mwaka 2016 aisee nilikua sioni faida na mtaji ukawa unalika balaa.
Nilishauriwa na wasamalia wema wa mtaa ule walioona duka langu lililokua mwanzo limejaa likawa linaporomoka siku hadi siku. Nikaunganishwa na mtaalam.
Ni dawa flan ivi ya maji nilipewa na Mzee Lugendo wa kijiji flani kinaanzia na herufi "K" wilaya ya Handeni ...aisee ni kiboko ya chuma ulete. Na akanielekeza siku nyingine kwenye biashara yoyote nikipata changamoto ni Kwato tu au mfupa wa mnyama flan unatwangia na majani ya mti flan maarufu saana na maji then unamwaga kwenye mlango wa duka au nyumbani kwako kama mstari flani afu unapita kwa kuruka then endelea na mishemishe
Uko sahihi kabisa ila sidhani kama watakuelewa, kama ni kweli kwanini wasiende kufanyia benki watajirikeKiuhalisia hakuna chuma ulete ila kiimani kuna chuma ulete, na hii ilikuja ili kurahisisha majibu baadhi ya maswali yakwamba kwann biashara yangu haikui? Kwann pesa yangu niliyoweka mfukoni imepotea?
Toa fungu la kumi, utakuja kunishukuru baadaeNaandika haya kutokana na yanayojiri katika biashara zangu
Niliwahi kufanya biashara Kimara na nilipata maendeleo mazuri kibiashara ila nilihama kwakuwa ndio home boi
Sasa baada ya kuhama nimekuja huku Kusina mwa Tanzania (Mtwara)
Kwa sasa niko na miezi na 8 katika biashara yangu (mobile money) ila sikuwa naamini kuhusu chuma ulete ila kwa sasa huku kunifanya niamin kwakuwa kila baada ya 1 au wiki nakutana na upotevu wa ela nyingi hadi biashara inashuka kabisa
Wadau nipeni uzoefu na ujanja wa kukwepa chuma ulete kamisheni ni nzuri ila mtaji unakufa kwahiyo ni kazi bure ....
Hapa napata faid zaidi lakn ndio wanaibia zaid hadi hyo faida inarud kwa mtaji...
Nimesikitika alilogwa vizuri na tulishazikaBank na Ikulu sio mahali kwa kutania mzee...!! Kule kwa motoo Sana unadhani kuchota pesa bank in rahisi oohoo...Uchawi unadundaa pale... Sawa na MTU utake kumloga Jiwee...haa ha ha
Kuna mtu anakuibia ela unayefanya nae kazi, mtu wa karibu Sana na usietegemea kabisa. Alikuwa ananyofoa mdogo mdogo Sasa matumizi yake yamekua.Hapa napata faid zaidi lakn ndio wanaibia zaid hadi hyo faida inarud kwa mtaji...
Dawa ya chuma ulete ni kutokuamini chuma ulete na kutafuta chanzo cha upotevu wa fedha. Tatizo liko kwa muuzaji ankuibia au hajui kurudisha chenjiNaandika haya kutokana na yanayojiri katika biashara zangu
Niliwahi kufanya biashara Kimara na nilipata maendeleo mazuri kibiashara ila nilihama kwakuwa ndio home boi
Sasa baada ya kuhama nimekuja huku Kusina mwa Tanzania (Mtwara)
Kwa sasa niko na miezi na 8 katika biashara yangu (mobile money) ila sikuwa naamini kuhusu chuma ulete ila kwa sasa huku kunifanya niamin kwakuwa kila baada ya 1 au wiki nakutana na upotevu wa ela nyingi hadi biashara inashuka kabisa
Wadau nipeni uzoefu na ujanja wa kukwepa chuma ulete kamisheni ni nzuri ila mtaji unakufa kwahiyo ni kazi bure ....