Wadau sasa hapa natokaje..?

Wadau sasa hapa natokaje..?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Twendeni taratibu limenikamata mwenzenu!, Mkeka umekaa hivi

Janeth siku yake yakuzaliwa ni 23/2... ambayo ni leo!.
Jackie nae mchepuko siku yake ya kuzaliwa ni 23/2.. ambayo pia ni leo!.
Bongo linanichemka hapa niende kwanani niache kwanani!!!
kwanza nitafanyaje sehemu moja niende na kwengine nisiende..?
Keka lamwisho ambalo lipicha limekaa kijambazi ni kesho 24/2.. Ni siku yangu yakuzaliwa hivyo jack na jane watataka kuja kunitakia happy birthday to you!!.

Nimeamini shetani hakosi jambo lakukupigia hata kama upo sawa na mapenzi yako ye anakuchora tu anajua wapi hesabu zake atajumlisha nakutoa!, Next time kigezo cha siku za kuzaliwa za wapenzi wangu nitakuwa nazikagua maana sio kwa hili komwe kuniuma hivi!!.

Hili ni zimwi likujualo linakumaliza sio lile halikuli likakwisha!.
Wakuu kwenye moja na mbili natokaje hapa..?
 
Twendeni taratibu limenikamata mwenzenu!, Mkeka umekaa hivi

Janeth siku yake yakuzaliwa ni 23/2... ambayo ni leo!.
Jackie nae mchepuko siku yake ya kuzaliwa ni 23/2.. ambayo pia ni leo!.
Bongo linanichemka hapa niende kwanani niache kwanani!!!
kwanza nitafanyaje sehemu moja niende na kwengine nisiende..?
Keka lamwisho ambalo lipicha limekaa kijambazi ni kesho 24/2.. Ni siku yangu yakuzaliwa hivyo jack na jane watataka kuja kunitakia happy birthday to you!!.

Nimeamini shetani hakosi jambo lakukupigia hata kama upo sawa na mapenzi yako ye anakuchora tu anajua wapi hesabu zake atajumlisha nakutoa!, Next time kigezo cha siku za kuzaliwa za wapenzi wangu nitakuwa nazikagua maana sio kwa hili komwe kuniuma hivi!!.

Hili ni zimwi likujualo linakumaliza sio lile halikuli likakwisha!.
Wakuu kwenye moja na mbili natokaje hapa..?
Happy birthday in advance
 
1738240531155.jpg
 
Kwani ulilazimishwa kuwa na madem wawili kwa wakati mmoja? Kitulize
Kwa mmoja nilifata mapishi kwa mwengine nikafata feni bovu uno!
 
Back
Top Bottom