Wadau sasa hapa natokaje..?

Wadau sasa hapa natokaje..?

Tumia mbinu unaumwa huwez kwenda kokote na kesho hamna kitachofanyika mbn huwi mtoto wa mjini bhn!
haha! na unajiita mtoto wa mjini hapo ndo umewaza..šŸ˜…
hebu jitahidi kuwaza tena uone ulivyo kolo!
 
haha! na unajiita mtoto wa mjini hapo ndo umewaza..šŸ˜…
hebu jitahidi kuwaza tena uone ulivyo kolo!
Tofaut na hapo siwezi singizia au kuua mtu,

wala kuzima simu,

Haya Leo jumapili dharura gani kazini usiku?

Tumia kuumwa hapo, au una kikao na boss imetokea dharura unahitajika acha kuwa km hujakaa mjini bhn šŸ˜‚
 
Tofaut na hapo siwezi singizia au kuua mtu,

wala kuzima simu,

Haya Leo jumapili dharura gani kazini usiku?

Tumia kuumwa hapo, au una kikao na boss imetokea dharura unahitajika acha kuwa km hujakaa mjini bhn šŸ˜‚
Mkuu kuumwa watakuja kuniangalia na hiyo ni emergency mtu atang'ang'ania tu, ukimzuia atataka kujua why...?

oya we sijui wakijiji gani..🤣
 
S
Mkuu kuumwa watakuja kuniangalia na hiyo ni emergency mtu atang'ang'ania tu, ukimzuia atataka kujua why...?

oya we sijui wakijiji gani..🤣
ikiza waambie hauko sawa na huwezi ongea na simu ........ Mwambie mmoja mwingine utamwambia muda ukiwa umeenda

Natokea namanyere šŸ˜‚
 
Chagua mmoja mwambie leo tubasherekea birthday yangu na yako ili kusave hela. Hela ni ngumu sana. Mwingine mwambie tunaunganisha yako na yangu tutaifanya kesho tunasave hela.
Salute kwako Mkuu, yani hapo unafaa sanaa kuitwa kwenye mijadala migumu migumu!😃😃
 
S

ikiza waambie hauko sawa na huwezi ongea na simu ........ Mwambie mmoja mwingine utamwambia muda ukiwa umeenda

Natokea namanyere šŸ˜‚
Hii yakwako naikataa maana vile vichwa navijua!, kuna dalili naanza kupata mbwinu inajiunda kichwani...šŸ˜…
 
Wanaume wa Dar bwana ndio mnapoushusha uanaume. Mwanaume utasherehekeaje birthday?. Hayo ni mavitu ya watoto na wanawake magube gube yale. Tarehe yangu ya kuzaliwa naikumbuka tu kama kuna cha kujaza jaza mahala
 
Cancel kote mkuu,,,, ya hao mamanzi ya yako,,,, ! Mambo ya birthday waachie madem! Wakimind sana wote watumie hela ya wine.,,, usiende kwa yeyote ! Mwanaume unatakiwa uwe kiongoz na mtawala kwa mwanamke wako, utakachokisema ni sheria
 
Twendeni taratibu limenikamata mwenzenu!, Mkeka umekaa hivi

Janeth siku yake yakuzaliwa ni 23/2... ambayo ni leo!.
Jackie nae mchepuko siku yake ya kuzaliwa ni 23/2.. ambayo pia ni leo!.
Bongo linanichemka hapa niende kwanani niache kwanani!!!
kwanza nitafanyaje sehemu moja niende na kwengine nisiende..?
Keka lamwisho ambalo lipicha limekaa kijambazi ni kesho 24/2.. Ni siku yangu yakuzaliwa hivyo jack na jane watataka kuja kunitakia happy birthday to you!!.

Nimeamini shetani hakosi jambo lakukupigia hata kama upo sawa na mapenzi yako ye anakuchora tu anajua wapi hesabu zake atajumlisha nakutoa!, Next time kigezo cha siku za kuzaliwa za wapenzi wangu nitakuwa nazikagua maana sio kwa hili komwe kuniuma hivi!!.

Hili ni zimwi likujualo linakumaliza sio lile halikuli likakwisha!.
Wakuu kwenye moja na mbili natokaje hapa..?
Tamaa ikizidi kiasi kinachofuata ni kutenda dhambi nyingi, dhambi zikishakuwa nyingi ujiandae na safari ya mautini.
 
Cancel kote mkuu,,,, ya hao mamanzi ya yako,,,, ! Mambo ya birthday waachie madem! Wakimind sana wote watumie hela ya wine.,,, usiende kwa yeyote ! Mwanaume unatakiwa uwe kiongoz na mtawala kwa mwanamke wako, utakachokisema ni sheria
Hii imekaa kibabe sana!..šŸ˜…
Nachukua hii
 
Back
Top Bottom