Wadau sasa hapa natokaje..?

Tumia mbinu unaumwa huwez kwenda kokote na kesho hamna kitachofanyika mbn huwi mtoto wa mjini bhn!
haha! na unajiita mtoto wa mjini hapo ndo umewaza..πŸ˜…
hebu jitahidi kuwaza tena uone ulivyo kolo!
 
haha! na unajiita mtoto wa mjini hapo ndo umewaza..πŸ˜…
hebu jitahidi kuwaza tena uone ulivyo kolo!
Tofaut na hapo siwezi singizia au kuua mtu,

wala kuzima simu,

Haya Leo jumapili dharura gani kazini usiku?

Tumia kuumwa hapo, au una kikao na boss imetokea dharura unahitajika acha kuwa km hujakaa mjini bhn πŸ˜‚
 
Tofaut na hapo siwezi singizia au kuua mtu,

wala kuzima simu,

Haya Leo jumapili dharura gani kazini usiku?

Tumia kuumwa hapo, au una kikao na boss imetokea dharura unahitajika acha kuwa km hujakaa mjini bhn πŸ˜‚
Mkuu kuumwa watakuja kuniangalia na hiyo ni emergency mtu atang'ang'ania tu, ukimzuia atataka kujua why...?

oya we sijui wakijiji gani..🀣
 
S
Mkuu kuumwa watakuja kuniangalia na hiyo ni emergency mtu atang'ang'ania tu, ukimzuia atataka kujua why...?

oya we sijui wakijiji gani..🀣
ikiza waambie hauko sawa na huwezi ongea na simu ........ Mwambie mmoja mwingine utamwambia muda ukiwa umeenda

Natokea namanyere πŸ˜‚
 
Chagua mmoja mwambie leo tubasherekea birthday yangu na yako ili kusave hela. Hela ni ngumu sana. Mwingine mwambie tunaunganisha yako na yangu tutaifanya kesho tunasave hela.
Salute kwako Mkuu, yani hapo unafaa sanaa kuitwa kwenye mijadala migumu migumu!πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
S

ikiza waambie hauko sawa na huwezi ongea na simu ........ Mwambie mmoja mwingine utamwambia muda ukiwa umeenda

Natokea namanyere πŸ˜‚
Hii yakwako naikataa maana vile vichwa navijua!, kuna dalili naanza kupata mbwinu inajiunda kichwani...πŸ˜…
 
Wanaume wa Dar bwana ndio mnapoushusha uanaume. Mwanaume utasherehekeaje birthday?. Hayo ni mavitu ya watoto na wanawake magube gube yale. Tarehe yangu ya kuzaliwa naikumbuka tu kama kuna cha kujaza jaza mahala
 
Cancel kote mkuu,,,, ya hao mamanzi ya yako,,,, ! Mambo ya birthday waachie madem! Wakimind sana wote watumie hela ya wine.,,, usiende kwa yeyote ! Mwanaume unatakiwa uwe kiongoz na mtawala kwa mwanamke wako, utakachokisema ni sheria
 
Tamaa ikizidi kiasi kinachofuata ni kutenda dhambi nyingi, dhambi zikishakuwa nyingi ujiandae na safari ya mautini.
 
Cancel kote mkuu,,,, ya hao mamanzi ya yako,,,, ! Mambo ya birthday waachie madem! Wakimind sana wote watumie hela ya wine.,,, usiende kwa yeyote ! Mwanaume unatakiwa uwe kiongoz na mtawala kwa mwanamke wako, utakachokisema ni sheria
Hii imekaa kibabe sana!..πŸ˜…
Nachukua hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…