dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,172
- 3,082
Wadau,
Nina mtoto mwenye miaka 3 anasumbuliwa sana na maradhi ya mifupa kiasi ambacho miguu yake imeanza kukukosa nguvu na mara kwa mara anekua akîlazwa.
Naomba msaada kama kuna ushauri wa kuyapunguza kasi au kama kuna Hospital yoyote ambayo naweza pata tiba ya uhakika wa maradh haya.
Nina mtoto mwenye miaka 3 anasumbuliwa sana na maradhi ya mifupa kiasi ambacho miguu yake imeanza kukukosa nguvu na mara kwa mara anekua akîlazwa.
Naomba msaada kama kuna ushauri wa kuyapunguza kasi au kama kuna Hospital yoyote ambayo naweza pata tiba ya uhakika wa maradh haya.