Ilikua niandikaje mkuu naomba msaada panapo mapufungufu
Ilikua niandikaje mkuu naomba msaada panapo mapufungufu
Ilikua niandikaje mkuu naomba msaada panapo mapufungufu
umeandika title inayohusu seli mundu halafu content inahusu mifupa
Kadiri ninavyo ufaham mm kwa jina la kitaalam ni ''Sicle Cell'' na kwa kiswahil wanaita Maradh ya Mifupa ambapo mgonjwa upata maumivu makali ktk viungo vya miko na miguu , tumbo na upungufu wa damu wa mara kwa mara nakushukuru kwa msbda wako na natarajia utanisadia zaid ata kwa mawazo. Ahsante
Kadiri ninavyo ufaham mm kwa jina la kitaalam ni ''Sicle Cell'' na kwa kiswahil wanaita Maradh ya Mifupa ambapo mgonjwa upata maumivu makali ktk viungo vya miko na miguu , tumbo na upungufu wa damu wa mara kwa mara nakushukuru kwa msbda wako na natarajia utanisadia zaid ata kwa mawazo. Ahsante
upo mkoa gani? kama upo dar, mpeleke muhimbili. wana kitengo maalum cha kuhudumia matatizo hayo. kama upo mbali jaribu kutafuta hospitali yenye daktari bingwa wa watoto utaweza kupata msaada.pole sana.
Mm natumia cm ya mkonöni na kama unavyofaham page ni nying mno kuitafuta 4nakua ngumu km kunaa yoyote atakaesaidia kuniwekea iyo thread gapa ntawashukuru sanaHebu search kwanza huu ugonjwa tuliuchambuwa kwa kina na matibabu yake na walipo wataalam, tatizo letu kubwa huwa hatujipi muda wa kusearch old thread.
Mm natumia cm ya mkonöni na kama unavyofaham page ni nying mno kuitafuta 4nakua ngumu km kunaa yoyote atakaesaidia kuniwekea iyo thread gapa ntawashukuru sanaHebu search kwanza huu ugonjwa tuliuchambuwa kwa kina na matibabu yake na walipo wataalam, tatizo letu kubwa huwa hatujipi muda wa kusearch old thread.
Mpeleke kwenye maombi usipoteze muda angalia Emmanuel TV kwa ukarbu sana jiunganishe kupitia TV na prayer request kwa njia ya mtandao, fanya utaratibu wa kumuweka karibu ya damu ya yesu, sitanii nimeona kwa macho haijalishi ni ugonjwa gani, hakuna ugonjwa ulio juu ya jina hili kuu, unahitaji njia ya kufika huko kwa imani tu utawezeshwa kupata vitu vya mbinguni, tena kwa huyu mtoto mdogo ni rahisi maana hana maluweluwe, maana si bwana alisema waleteni watoto wadogo waje kwangu, maana ufalme wa mbinguni ni wao? tena akasema tunahitaji mioyo safi kama ya watoto wadogo, kama UNAAMINI ni pm nikukutanishe na watumishi wanaofanya mambo makubwa, na wala hawajitaji kujitangaza, usipoteze muda fanya hima ndugu yangu mtoto anaemia
Mm natumia cm ya mkonöni na kama unavyofaham page ni nying mno kuitafuta 4nakua ngumu km kunaa yoyote atakaesaidia kuniwekea iyo thread gapa ntawashukuru sana