Wadau tujadili hapa kidogo

Wadau tujadili hapa kidogo

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Nakumbuka nikiwa nakua kila nikiosha vyombo bibi alikuwa anasisitiza nianze na vikombe na glass za maji ili visiwe na harufu ya mafuta au michuzi. Ila sasa hivi naweza anza hata na sufuria nikamaliza na glass na fresh tu.

Haya Ukiwa unaosha vyombo huwa unafuata mpangilio upi hapa?


1721119095675.png

 
Nakumbuka nikiwa nakua kila nikiosha vyombo bibi alikuwa anasisitiza nianze na vikombe na glass za maji ili visiwe na harufu ya mafuta au michuzi. Ila sasa hivi naweza anza hata na sufuria nikamaliza na glass na fresh tu.

Haya Ukiwa unaosha vyombo huwa unafuata mpangilio upi hapa?


Swali fikirishi je mlikuwa mnatumia sabuni
 
Naanza na ninachotaka kutumia muda huo, hadi wakati nikitaka kutumia kingine nitaosha pia.

Sina mpangilio maana hauna maana yoyote kwa mimi mwenye sufuria moja, mwiko na sahani moja.
 
Back
Top Bottom