Wadau tusaidiane

Wadau tusaidiane

spike

Senior Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
112
Reaction score
15
Nina shida na kazi ya kujitolea kwenye kitengo cha audit au accounts, mi nimchapa kazi mzuri,najituma sana. Tusaidiane nije kusaidia kazi nami nipate ujuzi.nipo Dar
 
Nina shida na kazi ya kujitolea kwenye kitengo cha audit au accounts, mi nimchapa kazi mzuri,najituma sana. Tusaidiane nije kusaidia kazi nami nipate ujuzi.nipo Dar

Hapa mdau ungespecify kama unahitaji kujitolea kwa malipo au bure
 
Mkuu niko serious, ninataka nipate ujuzi mkuu.
 
Back
Top Bottom