Takribani wiki mbili zilizopita kulikuwepo na habari hapa jeief kwamba moja ya nyumba ndogo za mgombea mmoja wa urahisi ilikuwa hoi bin taabani kitandani kwa maradhi. Ukitilia maanani kwamba uchaguzi unatugharimu mabilioni ya pesa hivyo tusingependa tuurudie uchaguzi huo na kutugharimu walipa kodi.
Ni ukweli usiopingika kwamba afya ya dada yetu Eva ni muhimu kwetu katika kufanya maamuzi ya busara mbele ya sanduku la kura 31 October 2010 kwani inaakisi afya ya mgombea huyo. Je ndugu zetu wa Arusha dada yetu anaendeleaje?
Na je mwenzi wake huyo alifanikiwa japo kwenda kumjulia hali wiki iliyopita alipokuwa huko kwa kampeni?
Ni ukweli usiopingika kwamba afya ya dada yetu Eva ni muhimu kwetu katika kufanya maamuzi ya busara mbele ya sanduku la kura 31 October 2010 kwani inaakisi afya ya mgombea huyo. Je ndugu zetu wa Arusha dada yetu anaendeleaje?
Na je mwenzi wake huyo alifanikiwa japo kwenda kumjulia hali wiki iliyopita alipokuwa huko kwa kampeni?