Wadau wa elimu nishaulini

Wadau wa elimu nishaulini

slmmfm

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
304
Reaction score
65
Napenda xana kuwa mwalim, ili kukamilisha malengo yang nimeweka frst choice ''bachelor of education for special need''

Hiyo coz vip inalipa au majanga?
 
Kuwa fundisha hao wenye special needs inahitaj wito we una ulizia kama inalipa?kwel majanga
 
uandishi wako siyo kabisa.... kama unamoyo wa upendo na upole unaweza fanya ila kwa upande wa kulipwa sidhani
 
Inamaana sitofundisha ni special need mwanzo mwisho!
 
ktk uchaguzi wa course vyuoni ungeomba ushauri uelimishwe juu ya kile utakacho kusoma kipo vip na impact zake asa hiz habar za kusema inalipa au majanga ni tatizo kama hauko na wito wale mental retarded utawatreat vip
 
Kaka hiyo inalipa ingawa siku hizi ni inclussive education, utafundisha wote hata wqlasio na mahitaji maalum (nimechukua hiyo kozi)
 
Haufi njaa kama anavysema huyo kabwela.kama hauna wat wakukpga kifua kwny kufind job hyo ni kaz nzur sana kuepuka kukaa sana kitani kama wal wenzngu wa walchokua kuz fulnflan chuoni.
 
Brada unazingua maana TCU karibia wanatoa selection na siiazani kama kwenye system unaweza ku -edit tena......sasa hata tukikushauri itasaidia nini...?
 
Back
Top Bottom