Wadau wa Elimu si Prof. Ndalichako na Wafanyakazi wa Umma

Wadau wa Elimu si Prof. Ndalichako na Wafanyakazi wa Umma

Mtoto wa Nyerere

Senior Member
Joined
May 21, 2021
Posts
129
Reaction score
689
Tunaenda kujadili elimu na mfumo wa kujiajiri

Wadau wa elimu wahusika ambao ni Sector binafsi hawapo

Wamejazana wafanyakazi wa serikali walio chini ya waziri ndalichako.

Huu ni utoto tulitakiwa kuwaita watu ambao wapo tayari nje ya box kama Mafundi wa magari, vinyozi, Mafundi simu, Wanaofanya kilimo cha mazao, Matunda na mboga mboga

Mafundi wa kabati, vitanda na sofa.

Tunaenda kuita waajiriwa wa serikali eti ndio wadau wa elimu kumbe hata tatizo hatulijui?

Wote mliopo hapo hakuna mnachokifanya na hamwezi kuleta syllabus inayotakiwa.
 
Sasa tukusaidieje? Maana wameshaitwa tayari, na bila shaka wanaendelea na huo mjadala.
 
Mimi nipo kwenye huu mjadala
Kinachojadiliwa ni Mtaala na maboresho yao
Usikute waajiri hawana shida wao si wana mtaji??
Sasa tuwaache wao na mitaji yao sisi wacha tuhangaike na maarifa yetu
 
Mimi nipo kwenye huu mjadala
Kinachojadiliwa ni Mtaala na maboresho yao
Usikute waajiri hawana shida wao si wana mtaji??
Sasa tuwaache wao na mitaji yao sisi wacha tuhangaike na maarifa yetu
Maarifa ya kula kodi za wananchi kwa ujanja ujanja eti kazi maalum!! Mungu anawaona.
 
Back
Top Bottom