tongs
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 539
- 942
Mkuu mbona jibu nimekupatia hapo, au ulikula adaHujajibu swali nililouliza!
Forex ifundishwa hadi vyuo vikuu, je deci ilikua inafundishwa vyuo vikuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona jibu nimekupatia hapo, au ulikula adaHujajibu swali nililouliza!
Forex ifundishwa hadi vyuo vikuu, je deci ilikua inafundishwa vyuo vikuu?
Acha kujificha ficha toa jibu straight. Jiamini bwana mdogo!!Mkuu mbona jibu nimekupatia hapo, au ulikula ada
Kiongozi napata wasiwasi utakua ulikosa credit ya kiswahili O-levelAcha kujificha ficha toa jibu straight. Jiamini bwana mdogo!!
MTU mweusi anaamini hili upate pesa ni lazima uvuje jasho, uumie,unyeshewe na mvua na baada ya hapo ukalale hoi.Ngozi nyeusi bado sana,wachawi ni wengi.
Na kama hawapati faida mtawa refund pesa zao walizowekeza?Kama wanapata faida kulipa kodi ni lazima.
Na kama hawapati faida mtawa refund pesa zao walizowekeza?
Na hiyo kodi unataka wailipeje?
Iweke pingamizi ili ninufaike na nini? Na nimeshasema lengo la hii thread halikua copying and pasting hiyo link hapa kama ilivyo,nilichofanya mimi niko drawing possible inference(s) from that article.Huna lolote wewe una tamani iwe hivyo kwamba serikali iweke pingamizi dhidi ya forex na sio kitu kingine
Hili kuthibitisha hili umekurupuka kuleta thread bila hata kuelewa kilichoandikwa na kumaanishwa kwenye hiyo link, umekimbilia kuleta hisia na matamanio yako.
Kilichomo kwenye hiyo link na kichwa chako cha hii habari ni vitu viwili visivyo landana, eti "wadau wa forex mtamulikwa soon" umeona kwanza waliomulikwa huko KENYA ni akina nani?
Kama umeshindwa kuelewa forex participants waliomulikwa huko kenya hizi kama sio hisia ni nini?
Sasa Kenya imeweka utaratibu kua local brokers,wapewe kipaumbele,kuna mchangiaji kasema tz hakuna brokers,hauoni hii inaweza sababisha uanzaji wa brokers wa ndani?Anayelipa kodi ni broker au institutes sio trader wa kawaida!! Wakitaka kodi wakawabane brokers huko nje kama wana uwezo..
Nakumbuka mwalimu wetu wa monetary Economics alitufundisha arbitrage,naona inashabihiana sana na hii forex.Hujajibu swali nililouliza!
Forex ifundishwa hadi vyuo vikuu, je deci ilikua inafundishwa vyuo vikuu?
Wewe unaita uchawi ila wataalam wanaita informed inferences/observation about possibility of future events which can influence a certain issue.Ngozi nyeusi bado sana,wachawi ni wengi.
Wako wapi hao critics wa forex humu?MTU mweusi anaamini hili upate pesa ni lazima uvuje jasho, uumie,unyeshewe na mvua na baada ya hapo ukalale hoi.
Na ndio maana hawa forex critics wa humu ukiakiangalia comments zao wanakwambia nendeni mkalime!
Watu bado wapo kwenye zama za mawe za kale kifikra na ndio maana umaskini umetamaraki.
Mkuu, unamtumia broker yupi? nipe mwanga hata PMBongo hamna broker mkuu. Kodi wataipata nikienda kuchukua changu benki.![]()