Wadau wa forex trading nisaidieni hapa

Wadau wa forex trading nisaidieni hapa

Muda si mrefu nimepàta preshaa baada ya kukuta account yangu pesa hàipo imepungua niliacha trading 23 zikirun ili baadae kukikucha nizitazàme,,natazama midà hii nakutà zimekuwà cànceled ñà pesà hakunà nilizowekeza pale...
Umeunguza akaunti mkuu, hii inatokana na kutokuzingatia Risk management, kama vile kutokuweka stop loss, kuweka lotsize kubwa , kufungua positions nyingi
 
Hizi promo za kishamba sana,

Waacheni watu watafiti wapate broker wao wenyewe,

Achaneni na comission,

Trader gani wewe badala ya kutrade kila siku unatangaza broker?
Boss huyu broker amekukosea nini? Seems km unakinyongo naye sana ,
Hafu boss kama unabroker wako mzur mzur unamtumia tuletee humu na sisi tumfahamu na utakuwa umetusaidia kufanya utafiti boss! Huyo beginner unayemwambia akafanye utafit atafanya wapi? Kama sio jamii forums na kwa matraders wengine , au hujui maana ya utafiti boss,, humu ndan brokers wanaozungumziwa sana ni tickmill na Templer , mm mwenyewe nimefika kumfahamu Templer humu humu jamiiforums kupitia hiz hiz promo , so usizuie promo kwa sababu zinawasaidia wengi sana sema ww mkuu much know sana ...
Narudia tena km unabroker wako mzur mzur mlete humu tumjue boss acha umuch know
 
Boss huyu broker amekukosea nini? Seems km unakinyongo naye sana ,
Hafu boss kama unabroker wako mzur mzur unamtumia tuletee humu na sisi tumfahamu na utakuwa umetusaidia kufanya utafiti boss! Huyo beginner unayemwambia akafanye utafit atafanya wapi? Kama sio jamii forums na kwa matraders wengine , au hujui maana ya utafiti boss,, humu ndan brokers wanaozungumziwa sana ni tickmill na Templer , mm mwenyewe nimefika kumfahamu Templer humu humu jamiiforums kupitia hiz hiz promo , so usizuie promo kwa sababu zinawasaidia wengi sana sema ww mkuu much know sana ...
Narudia tena km unabroker wako mzur mzur mlete humu tumjue boss acha umuch know
Mkuu EURUSD napiga vita kabisa promo za vitu hivi kwa sababu kama wewe ni beginner lazima utafiti kuhusu broke

Kuna-review kibao mtandaoni ukienda myfxbook utakuta brokers kibao na review zao

Sasa hii habari ya promo za commison ndo yatatokea yale yale ya JPM markets

Watu wanashauriwa halafu baadae wanaanza kulia lia hovyo
 
Hii forex huwa naisikia tu....hivi inahusika na nini hasa ni aina fulani ya gambling au?
 
Muda si mrefu nimepàta preshaa baada ya kukuta account yangu pesa hàipo imepungua niliacha trading 23 zikirun ili baadae kukikucha nizitazàme,,natazama midà hii nakutà zimekuwà cànceled ñà pesà hakunà nilizowekeza pale...
umeunguza mkuu kwanz leo spread zilkuw kubwa san since jana ijumaa kwaiyo pole
 
Muda si mrefu nimepàta preshaa baada ya kukuta account yangu pesa hàipo imepungua niliacha trading 23 zikirun ili baadae kukikucha nizitazàme,,natazama midà hii nakutà zimekuwà cànceled ñà pesà hakunà nilizowekeza pale...
Ulifungua position ngapi?
Kwa capital kiasi gani?
 
23 positions zote hizo??

Umesha choma account mzee baba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila huwezi jua alikuwa na balance kiasi gani,usikute alikuwa na pesa ya kutosja
 
Hellow wakuu!!
Kwa wale wageni kwenye Forex (newbies/beginners) naamini mnaendelea kusoma vitabu vya Forex na kufanya majaribio kwenye demo ,

Nawashauri msitumie demo Bali fungueni live cent account kwa broker anayeitwa Templer FX Trader , cent akaunt ni live Akaunti ambayo ukideposit $1(Tsh 2,250/=) kwenye Mt4 itasoma $100 ,, inamaana kila $1 unayodeposit inazidishwa Mara 100, ni akaunti nzuri kwa kujifunzia kuliko kutumia demo kwa sababu demo ni hela ya kufikirika hata ukiikuza huwezi kutoa na hata ukiunguza hudaiwi na MTU. Demo inapunguza ule userious Wa MTU kujifunza Forex, ila ukitumia cent akaunti ni nzuri zaidi kwa kujifunzia kwa sababu ni pesa halisi ambayo unaweza kuitoa km kawaida , unanua vocha na mahitaji mengine kama Sabuni, pia inaongeza userious Wa kujifunza na kugundua wapi umekosea,, Cent akaunti itakuongezea umakini na kukupa ujasiri zaidi katika kujifunza..
Uzuri mwingine hiyo $1 utadeposit kwa njia ya mpesa huyu broker anakubali mihamala kwa njia ya Mpesa huhitaji kwenda hadi Bank, ,, ukishaiva vizur utafungua Universal live akaunti. Hii ndyo akaunti rasmi ya kutrade na kupata hela ya kuendesha maisha. Cent akaunti ni kwa ajili ya kujifunzia pamoja na kupata hela ya vocha[emoji16]

Fungua Cent akaunti Leo achana na Demo ingia kwenye website yao hii Templer FX Trader
Verification ni masaa24 tu unakuwa ushapata akaunti. Unachotakiwa kuwa nacho ni ID mojawapo kati ya kupigia kura,lessen passport, au cha uraia

Nijuze ukikwama au km kuna sehemu hujaelewa jisikie huru kuuliza.

Upo mkoa gani natafuta mtu wa kunifundisha hii kitu ana kwa ana.
Me Niko mtwara au kama unamjua mtaalamu wa hii kitu anayeishi huku niunganishe nae
 
Upo mkoa gani natafuta mtu wa kunifundisha hii kitu ana kwa ana.
Me Niko mtwara au kama unamjua mtaalamu wa hii kitu anayeishi huku niunganishe nae
Soma hivi vitabu astroforex price action na naked forex halafu ingia YouTube tafuta videos za urbanforex zipo Zaidi ya 20 kila moja ikiwa na lisaa limoja halafu practice sana sidhani kama kuna haja ya mentor au kununua indicator
 
Soma hivi vitabu astroforex price action na naked forex halafu ingia YouTube tafuta videos za urbanforex zipo Zaidi ya 20 kila moja ikiwa na lisaa limoja halafu practice sana sidhani kama kuna haja ya mentor au kununua indicator


Shukrani.., nitafanya hivyo
 
Back
Top Bottom