Umeunguza akaunti mkuu, hii inatokana na kutokuzingatia Risk management, kama vile kutokuweka stop loss, kuweka lotsize kubwa , kufungua positions nyingiMuda si mrefu nimepàta preshaa baada ya kukuta account yangu pesa hàipo imepungua niliacha trading 23 zikirun ili baadae kukikucha nizitazàme,,natazama midà hii nakutà zimekuwà cànceled ñà pesà hakunà nilizowekeza pale...
Rejea post #42Hii makitu kumbe watu bado wanafanya pamoja na kutoa kote elimu
Boss huyu broker amekukosea nini? Seems km unakinyongo naye sana ,Hizi promo za kishamba sana,
Waacheni watu watafiti wapate broker wao wenyewe,
Achaneni na comission,
Trader gani wewe badala ya kutrade kila siku unatangaza broker?
Mkuu EURUSD napiga vita kabisa promo za vitu hivi kwa sababu kama wewe ni beginner lazima utafiti kuhusu brokeBoss huyu broker amekukosea nini? Seems km unakinyongo naye sana ,
Hafu boss kama unabroker wako mzur mzur unamtumia tuletee humu na sisi tumfahamu na utakuwa umetusaidia kufanya utafiti boss! Huyo beginner unayemwambia akafanye utafit atafanya wapi? Kama sio jamii forums na kwa matraders wengine , au hujui maana ya utafiti boss,, humu ndan brokers wanaozungumziwa sana ni tickmill na Templer , mm mwenyewe nimefika kumfahamu Templer humu humu jamiiforums kupitia hiz hiz promo , so usizuie promo kwa sababu zinawasaidia wengi sana sema ww mkuu much know sana ...
Narudia tena km unabroker wako mzur mzur mlete humu tumjue boss acha umuch know
umeunguza mkuu kwanz leo spread zilkuw kubwa san since jana ijumaa kwaiyo poleMuda si mrefu nimepàta preshaa baada ya kukuta account yangu pesa hàipo imepungua niliacha trading 23 zikirun ili baadae kukikucha nizitazàme,,natazama midà hii nakutà zimekuwà cànceled ñà pesà hakunà nilizowekeza pale...
babe kumbe upo forexWewe unatuchezea akili eeh?
Ulifungua position ngapi?Muda si mrefu nimepàta preshaa baada ya kukuta account yangu pesa hàipo imepungua niliacha trading 23 zikirun ili baadae kukikucha nizitazàme,,natazama midà hii nakutà zimekuwà cànceled ñà pesà hakunà nilizowekeza pale...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila huwezi jua alikuwa na balance kiasi gani,usikute alikuwa na pesa ya kutosja23 positions zote hizo??
Umesha choma account mzee baba
Yani mkuu kweli hadi umedeposit pesa hiko tu hukijuiDuuuu,mwisho zinatakiwà position ngapi mzee baba??
umeunguza mkuu kwanz leo spread zilkuw kubwa san since jana ijumaa kwaiyo pole
Yes babe ila bado najifunzababe kumbe upo forex
Hellow wakuu!!
Kwa wale wageni kwenye Forex (newbies/beginners) naamini mnaendelea kusoma vitabu vya Forex na kufanya majaribio kwenye demo ,
Nawashauri msitumie demo Bali fungueni live cent account kwa broker anayeitwa Templer FX Trader , cent akaunt ni live Akaunti ambayo ukideposit $1(Tsh 2,250/=) kwenye Mt4 itasoma $100 ,, inamaana kila $1 unayodeposit inazidishwa Mara 100, ni akaunti nzuri kwa kujifunzia kuliko kutumia demo kwa sababu demo ni hela ya kufikirika hata ukiikuza huwezi kutoa na hata ukiunguza hudaiwi na MTU. Demo inapunguza ule userious Wa MTU kujifunza Forex, ila ukitumia cent akaunti ni nzuri zaidi kwa kujifunzia kwa sababu ni pesa halisi ambayo unaweza kuitoa km kawaida , unanua vocha na mahitaji mengine kama Sabuni, pia inaongeza userious Wa kujifunza na kugundua wapi umekosea,, Cent akaunti itakuongezea umakini na kukupa ujasiri zaidi katika kujifunza..
Uzuri mwingine hiyo $1 utadeposit kwa njia ya mpesa huyu broker anakubali mihamala kwa njia ya Mpesa huhitaji kwenda hadi Bank, ,, ukishaiva vizur utafungua Universal live akaunti. Hii ndyo akaunti rasmi ya kutrade na kupata hela ya kuendesha maisha. Cent akaunti ni kwa ajili ya kujifunzia pamoja na kupata hela ya vocha[emoji16]
Fungua Cent akaunti Leo achana na Demo ingia kwenye website yao hii Templer FX Trader
Verification ni masaa24 tu unakuwa ushapata akaunti. Unachotakiwa kuwa nacho ni ID mojawapo kati ya kupigia kura,lessen passport, au cha uraia
Nijuze ukikwama au km kuna sehemu hujaelewa jisikie huru kuuliza.
Soma hivi vitabu astroforex price action na naked forex halafu ingia YouTube tafuta videos za urbanforex zipo Zaidi ya 20 kila moja ikiwa na lisaa limoja halafu practice sana sidhani kama kuna haja ya mentor au kununua indicatorUpo mkoa gani natafuta mtu wa kunifundisha hii kitu ana kwa ana.
Me Niko mtwara au kama unamjua mtaalamu wa hii kitu anayeishi huku niunganishe nae
anhaa take careYes babe ila bado najifunza
Soma hivi vitabu astroforex price action na naked forex halafu ingia YouTube tafuta videos za urbanforex zipo Zaidi ya 20 kila moja ikiwa na lisaa limoja halafu practice sana sidhani kama kuna haja ya mentor au kununua indicator