Wadau wa habari wamemshauri Sam Mahela apunguze kuvaa suti za kung'aa

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Leo niliamua kufanya utafiti hapa mtaani kwangu kwa mtindo wa kipima joto kuhusu mtangazaji nguli wa habari kutoka ITV.
Wadau wa habari nchini wamekuwa na maoni tofauti kuhusu swali la kipima joto lililouliza "tabia ya Sam Mahela kupenda kuvaa suti za kung'aa,je kunaharibu habari?"
Turudi studio kwa matokeo rasmi
Ndiyo:89%
Hapana:0%
Sijui:11%
Maoni
Mahela unajua kusoma habari vizuri ila tatizo unatuumiza macho watazamaji
 
Pia mwambie bwana yule wa magogoni apunguze kuvaa mi suti mikubwa mikubwa over size [emoji1] [emoji1]
 
Mm ananikera nywele cjui anapaka pikooooo....jaman piko aachie watt was form one b..yy ashakua MTU mzima
 
pia ana tatizo kubwa la L na R,, H na A,, pia anamuiga sana salim kikeke ila kwa upande wa kuvaa uhusika wa habari haswa anapokua mtaani anajitahidi sana.. ila kwa tatizo hilo ni bahati mbaya tuu kwamba hatoweza kwenda bbc, dw ama voa hata kwa ndumba
 
Huwa namshauri kila cku kaka angu aoe, angekuwa kashavuta jiko angalau angemsaidia swala la mavazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…