Wadau wa JamiiForums na mionekano yao

Wadau wa JamiiForums na mionekano yao

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Shemeji kwanini lkn unapenda kumchokoza mume wangu?
Hiv shemeji unafikri mimi sina wivu eeh!
Watu wazima unataka tuzungushane kama form two kweli. Haya tu wewe
 
Hivi Wewe huwezi kuwa ndiyo yule Mzee wa Mkoani Kigoma aliyemwambia Mkuu wa Wilaya kuwa hatoacha kulima na kuvuta Bange / Bangi kwani ameanza kulima na kuitumia tokea mwaka 1973? Halafu rekebisha hapo katika ID yangu naitwa GENTAMYCINE na siyo hivyo ulivyoandika Wewe.
unaitwa GENTAMYCINE au unajiita GENTAMYCINE???
 
Back
Top Bottom