Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Ndiyo mkuu,hadi 60,000/=Shockup inauzwa 80k?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mkuu,hadi 60,000/=Shockup inauzwa 80k?
Hizo shockups ni used au brand new?Ndiyo mkuu,hadi 60,000/=
Ah mzee mimi mwenyewe nakubali gari kadhaa mojawapo ikiwepo hio rx7 kuna hilo na gtr 32,33 au 34 na toyota supraTribute to my mazda rx-8.
Nilikua na mazda rx-8 nikaipimp ikawa ya "kitozi"hatariiiii, balaa lake inakula engine oil si mchezo.
Ni cc 1300 tu lkn horsepower inatoa zaidi ya 200, nilikua nikitembea road hakuna cha tezza sijui nini labda subaru baadhi ndo zilikua zinanisumbua tena mostly STI WRX.
Barabarani ina balance balaa ni 50% kwa 50%(wenye uelewa wa magari wataelewa hii).
Consumption yake ni lita 1 kwa km 6 mpk 7 wkt ni cc 1300 tu hahah.
Ikifika km 100,000 engine overhauling lazima ihusike,niliiuza ikiwa na km 75,000 kwa mhindi.
Next challenge nataka 1997 Manual mazda enfine rx-7(Najua matatizo ya hio gari lkn ndo hivyo tena naitaka hivyo hivyo)
Oooooh i'll miss u my mazda rx-8.