Wakuu,habari ndiyo hiyo,Leo Kuna mpambano wa kukata na shoka Kati ya RONALDO kutoka DAR dhidi ya NOEL kutoka NJOMBE..
Mtanange huu utakuwa wa mechi 24 ambazo zitapigwa ndani ya ukumbi wa michezo wa SANSIRO uliopo Mjini MAKAMBAKO ambapo mashabiki watajipatia fursa ya kushuhudia mtanange huo kwa kiingilio Cha Tsh. 2000/= tu na mshindi wa mtanange huo atajinyakulia kitita Cha Tsh. 200,000/=.
Mtanange huo unatarajiwa kuanza mnamo saa 10 jioni.
Nipo mbali na eneo la tukio lakini nikiwahi kurudi nitawapa updates lakini nikishindwa updates basi nitawapa matokeo ya mwisho.
UPDATE: FT: Ronaldo 3-1 Noel
MAREKEBISHO YA ZAWADI. Kumbe mshindi alichukua Tsh.150,000/= na mpinzani wake Tsh. 50,000/=
Mtanange huu utakuwa wa mechi 24 ambazo zitapigwa ndani ya ukumbi wa michezo wa SANSIRO uliopo Mjini MAKAMBAKO ambapo mashabiki watajipatia fursa ya kushuhudia mtanange huo kwa kiingilio Cha Tsh. 2000/= tu na mshindi wa mtanange huo atajinyakulia kitita Cha Tsh. 200,000/=.
Mtanange huo unatarajiwa kuanza mnamo saa 10 jioni.
Nipo mbali na eneo la tukio lakini nikiwahi kurudi nitawapa updates lakini nikishindwa updates basi nitawapa matokeo ya mwisho.
UPDATE: FT: Ronaldo 3-1 Noel
MAREKEBISHO YA ZAWADI. Kumbe mshindi alichukua Tsh.150,000/= na mpinzani wake Tsh. 50,000/=