Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwa mabingwa wa draft na stori za kwenye draft ni kwamba tanzania kuna mabingwa 12 tuSafi Mkuu, ingekuwa inafanyika Kitaifa ingekuwa poa sana mabingwa wa Mkoa wanakusanyika Mkoa fulani wanapiga gemu za kutosha theni tunapata bingwa wa Taifa