Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Kwa wale ambao hawakuangalia Monday night raw live marudio yapo supersport 11(chanell 211) saa tatu kamili usiku huu,supersport 9 marudio yatakuwepo kama kawaida ila kwa leo yatakuwepo saa tano ya usiku!
 
Bobby lashley ni hopeless baunsa!!.... Kila siku kupigana na vitoto tuuuu na ubaunsa wake wote huo!!
 
Tupo mzee wa marudio!!!....Kesho ni monday night raw kama kawaida wakati tunasubiria matukio makubwa ya mwisho wa mwaka kama vile Evolution, Crown Jewel, Survivor Series na TLC!
[emoji23] [emoji23] Juzi nimeamka saa nane usuku nikakuta live super sport 8, nikacheka sana, mambo ya kukesha kusubiri live nani anataka .
 
[emoji23] [emoji23] Juzi nimeamka saa nane usuku nikakuta live super sport 8, nikacheka sana, mambo ya kukesha kusubiri live nani anataka .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!..... ile kwenye matukio makubwa jitahidi kuamka mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…