Yes nimeona hiyo na amethibitisha mwenyew dah its so sadNimesikia Roman ameachia mkanda wake akatibie leukemia, kwamba amekuwa akiugua ugonjwa huo kwa zaidi ya miaka 11 sasa. Hizi habari zina ukweli wowote?
Leukemia haijali mbele au nyuma mkuu hiyo ni kansa ya damu sana sana anaenda kubadili damuMbele ni mbele tu...atarudi tu
Uwezo wake mdogo sana...... hakikutana na Brock...atakula superlex city za kutosha....Mcntyre naona ataingizwa kwenye mechi ya brock na monster....then mcntrye atashinda.
Uwezo wa kupona Kansa yeyote ni ngumu sana. Labda muujuza wa MUNGULeukemia haijali mbele au nyuma mkuu hiyo ni kansa ya damu sana sana anaenda kubadili damu
Kama Roman ameondoka hakuna tena wa kumtishia Brock Lesnar,ndoto yake ya kuchukua mikanda yote miwili ya WWE universal Championship na UFC huenda ikatimia!!Back to game za leo usiku, Roman ame rudisha universally Champion sasa ubabe ni Brock Lesnar na Brown strowman, Danny Ambrose kamsiliti Seith ila inaonekana kuna kisasi kibaya mwenye kumbumbuku aweke hapa au ni kipindi kile Seith alivyo wasiliti pia au?
Ugonjwa na ushabiki vitu viwili tofauti...Roman reigns kamkimbia Lesnar kaacha mkanda.....Hiyo ni moja title za gazeti za udaku za marekani
Alikuwa kipenzi chako sio kila mtuUgonjwa na ushabiki vitu viwili tofauti...
Yule ndo Big Dawg bana wote wanamjua,haogopagi mtu yule jamaa
Pole yake tu Leukemia inamzingua na si ajabu asirudi tena...
Brown stro anasema "he'ill bit leukaemia's ass"
Tumwombee arudi tena yule jamaa,alikuwa Kipenzi ya kila mtu aisee..
Anaumaarufu kuliko hata Cena japo alipendwa kama The Rock...
Roman ataishinda kansa in God we trust
Kila mtu even me!Alikuwa kipenzi chako sio kila mtu
Huyo atarudi hujaona Mzee wa yes movement Daniel Brian alikaa miaka miwili kwa ajili ya kuumia shingo na amerudi tena ulingoniUgonjwa na ushabiki vitu viwili tofauti...
Yule ndo Big Dawg bana wote wanamjua,haogopagi mtu yule jamaa
Pole yake tu Leukemia inamzingua na si ajabu asirudi tena...
Brown stro anasema "he'ill bit leukaemia's ass"
Tumwombee arudi tena yule jamaa,alikuwa Kipenzi ya kila mtu aisee..
Anaumaarufu kuliko hata Cena japo alipendwa kama The Rock...
Roman ataishinda kansa in God we trust
Wewe na yeye , sio kila mtuKila mtu even me!
Even you![emoji123][emoji123][emoji123]Wewe na yeye , sio kila mtu
Kurudi anaeza rudi ila sio kupona ile ni kansa ya damu kaka haiponagi hiyo..Huyo atarudi hujaona Mzee wa yes movement Daniel Brian alikaa miaka miwili kwa ajili ya kuumia shingo na amerudi tena ulingoni
Watakuwa wameiona mapema, ndo maana anaendelea kupambana nayo, we subiri utaona baada ya muda akirudi.Kurudi anaeza rudi ila sio kupona ile ni kansa ya damu kaka haiponagi hiyo..
Kansa haijawahi kuwa rafiki wa mwanadamu kabisa..
So elewa ile ni kansa tena ya damu..
Wanachokifanya ni kubadili damu tu ila sio kupona
Kwaiyo anaenda kufa, isn't it?Kurudi anaeza rudi ila sio kupona ile ni kansa ya damu kaka haiponagi hiyo..
Kansa haijawahi kuwa rafiki wa mwanadamu kabisa..
So elewa ile ni kansa tena ya damu..
Wanachokifanya ni kubadili damu tu ila sio kupona
Haijawahi tokea na haitokaaEven you![emoji123][emoji123][emoji123]
Yote yanaezekana mana huwa wanamuda hasa wagonjwa wa Leukemia na niliowashuhudia wengi huwa wanaishi wakijua wanakufa wakati gani, japo anamuda wa miaka 11 akiugua huo ugonjwa so huwezjua imefikia kiwango gani lakini most of them wanaishi si zaidi ya miaka 15 baada ya kuugua...Kwaiyo anaenda kufa, isn't it?
Even me, myself and I , we all love the Big DogWewe na yeye , sio kila mtu