Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Yule ni fala tu, dogo finn balor mwenyewe ana uwezo wa kumpush to limit!......sisi tunataka achukue mkanda mtu ambae atasababisha tuone huo mkanda unawaniwa kwenye mechi za raw deile ila huyo fala ataenda kulala nao nyumbani kwake na mke wake!!Mnyama brock lesnar amerudi na aliichonifurahisha ni kumpiga f5 jamaa mwenye miguvu mingi ila akili hamna(braun strowman)..sioni mpinzani wa brock lesnar the beast mara mia wangempa mkanda wake kuliko kuchanga viingilio vya watu alaf wakaenda kushuhudia maiti
Ww mtu upo daaah,mekumiss rafiki yanguHahahhahah duh kuna njemba wana details utafikiri anaishi nao
Ww mtu upo daaah,mekumiss rafiki yanguHahahhahah duh kuna njemba wana details utafikiri anaishi nao
wwe stands for..........walk with elias.namkubali sana jamaa tambo zakeWho wants to walk with Elias?
Muulize undertaker atakuelezea vzr kuhusu kipigo alichopokea kutoka kwa the beast maana yeye ndie aliyemtoa bikra..brock kwa sasa hana mpinzani wwe ata huyo roman hamwezi.Yule ni fala tu, dogo finn balor mwenyewe ana uwezo wa kumpush to limit!......sisi tunataka achukue mkanda mtu ambae atasababisha tuone huo mkanda unawaniwa kwenye mechi za raw deile ila huyo fala ataenda kulala nao nyumbani kwake na mke wake!!
Ubovu wa Lesnar ni mmoja tu nao ni jamaa ni coward champion,yaani yeye akishachukua mkanda anaenda kulala nao nyumbani kwake na mke wake badala ya kuja raw kuja kuudefend deile ili tuone mapambano tumfurahie!!Muulize undertaker atakuelezea vzr kuhusu kipigo alichopokea kutoka kwa the beast maana yeye ndie aliyemtoa bikra..brock kwa sasa hana mpinzani wwe ata huyo roman hamwezi.
SureMnyama brock lesnar amerudi na aliichonifurahisha ni kumpiga f5 jamaa mwenye miguvu mingi ila akili hamna(braun strowman)..sioni mpinzani wa brock lesnar the beast mara mia wangempa mkanda wake kuliko kuchanga viingilio vya watu alaf wakaenda kushuhudia maiti
Kwa sasa hana mpinzani kama nilivyosema hapo awali...ni mara mia akae kwake anywe gahawa kuliko kuja uwanjani na hamna wa kupambana nae.wamrudishe the rock labda atamwezaUbovu wa Lesnar ni mmoja tu nao ni jamaa ni coward champion,yaani yeye akishachukua mkanda anaenda kulala nao nyumbani kwake na mke wake badala ya kuja raw kuja kuudefend deile ili tuone mapambano tumfurahie!!
Si kweli kwamba hana wapinzani,akijichanganya kwa dogo finn balor atatolewa jasho la damu huyo kubwa jinga!!Kwa sasa hana mpinzani kama nilivyosema hapo awali...ni mara mia akae kwake anywe gahawa kuliko kuja uwanjani na hamna wa kupambana nae.wamrudishe the rock labda atamweza
finn barol anamdondosha sema tatizo la lesnar ni kukaa na mkanda ghteto na mke nao aje nao kila j3 apambane kama yeye ni bingwa anawaogopa watoto wadogo wasije wakampokeaKwa sasa hana mpinzani kama nilivyosema hapo awali...ni mara mia akae kwake anywe gahawa kuliko kuja uwanjani na hamna wa kupambana nae.wamrudishe the rock labda atamweza
Kuna madogo kibao pale wenye uwezo wa kumuumbua vibaya sana akina finn balor,Seth Rollins e.t.c!!.....yule akipigwa burn it down moja ya Seth rollins lazima aachie mkanda!!.....Hakuna finishing za kutisha pale wwe sasa hivi kama zile finishing za finn balor na Seth rollins, kama Brock Lesnar siyo coward champion awe anakuja kwenye raw apambane na hawa madogo tuone!!finn barol anamdondosha sema tatizo la lesnar ni kukaa na mkanda ghteto na mke nao aje nao kila j3 apambane kama yeye ni bingwa anawaogopa watoto wadogo wasije wakampokea
bado hajakutana na CURB STOMP lazima ile sura iwe nyekundu na mdomo upindeKuna madogo kibao pale wenye uwezo wa kumuumbua vibaya sana akina finn balor,Seth Rollins e.t.c!!.....yule akipigwa burn it down moja ya Seth rollins lazima aachie mkanda!!.....Hakuna finishing za kutisha pale wwe sasa hivi kama zile finishing za finn balor na Seth rollins, kama Brock Lesnar siyo coward champion awe anakuja kwenye raw apambane na hawa madogo tuone!!
Kubwa jinga anazikimbia hizi finishing mkuu!!....Mimi nina uhakika dogo Seth rollins au finn balor wana uwezo wa kumpiga yule kubwa jinga!bado hajakutana na CURB STOMP lazima ile sura iwe nyekundu na mdomo upinde
Siwezi kuamini kabisa hii kitu unasema Mkuu!Usikereke ndugu,Yale ni maigizo tu,ila wamefanikiwa manake lengo la kuvuta tension kwa watu limetimia ndio kama wewe walivyokuvuta
Hii habari nilikuwa naitafuta sana asante sana mkubwa.Hii show ya crown Jewel itakuwa live kesho ijumaa kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa sita ya usiku supersport 11!View attachment 917735