Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sema Dan mbishi ila kakosea sana kuangukia kwa lile linguruweZawadi ya Daniel bryan ya kushinda mkanda wa raw kwenye smackdown ya jana ni kwenda kukutana uso kwa uso na lile dude(Brock Lesnar) jumapili kwenye survivor series![emoji41][emoji41][emoji41]
Hahaaa wa Azam waulize sultana ila sio huu mchezoHuu uzi unawahusu wenye dstv tu.wale wa azam na startimes uwezi wapata humu.
Hahaaa wa Azam waulize sultana ila sio huu mchezo
Ni vyema apambane na dude kipindi hiki kwa sababu AJ styles kila akikutana na dude ni kuchezea tu kichapo, ngoja tukione hiki chuma(Daniel) huenda kikamsumbua jamaa kidogo!!Sema Dan mbishi ila kakosea sana kuangukia kwa lile linguruwe
Ila kiajabu tu unaeza kuta Dan ananyanyua kwapa huku beast akiinuliwa chini na PaulNi vyema apambane na dude kipindi hiki kwa sababu AJ styles kila akikutana na dude ni kuchezea tu kichapo, ngoja tukione hiki chuma(Daniel) huenda kikamsumbua jamaa kidogo!!
Loooh!!.....Daniel kile ni chuma haswa ila sidhani kama ataweza kumpush dude to the limit!Ila kiajabu tu unaeza kuta Dan ananyanyua kwapa huku beast akiinuliwa chini na Paul
Hiyo game itakuwa nyepesi sana kwa lesnarLoooh!!.....Daniel kile ni chuma haswa ila sidhani kama ataweza kumpush dude to the limit!
Lile ni mihasira yake tuStromen ni kubwa jinga
Lile jamaa km lisingepigwa hakika lile pambano lingekuwa gumu sana. Brown nae mtata hlf lina nguvuIfike mahali huyu mnyama Brock Lesnar apewe heshima zake zote.huyo Braun Kila siku anapigana mechi,mnyama katulia nyumbani anacheki muvi ila karudi na kampiga si chini ya dakika10.bado kuna watu bado wanataka apigane Kila siku ataua watu uwanjani
Mzee baba me mbona sina DSTV na show hazijawahi kunipita, kuanzia RAW, SD live mpaka PPV event tena zote naruka nazo liveHuu uzi unawahusu wenye dstv tu.wale wa azam na startimes uwezi wapata humu.
Mpe maujanjaMzee baba me mbona sina DSTV na show hazijawahi kunipita, kuanzia RAW, SD live mpaka PPV event tena zote naruka nazo live
Daah, siku hizi hata sifatilii tena, sasa brayan na Lesnar ndo nnLoooh!!.....Daniel kile ni chuma haswa ila sidhani kama ataweza kumpush dude to the limit!
Bad news becky hawezi tena kupambana kwenye survivorseries imenikera sana alipata injury alivyovamia RawUjue Raw pale hakuna dem wa kumsumbua Ronda,.. Wote laini laini. SmackDown wapo watu km Asuka, Becky, Charlote Flair... Hawa wanamsumbua Ronda vizuri tu
Anajiita kidumeNimeanza kumpenda BECKY LINCHY
Daniel bryan mzee wa yes yes yes yes yule upepo tuDaniel.Byran vs Brock Lesnar.....Ila daniel.mbishi sana
Yeah mkuu naangalia hapa.Bad news becky hawezi tena kupambana kwenye survivorseries imenikera sana alipata injury alivyovamia Raw
Hahahahaha badest bitch ngoja atakionaYeah mkuu naangalia hapa.
Nimemind sana aisee
Hata Charlote Flair atafanya iyo kazi vizuri tu... Silipendi li Ronda
Dogo wa burn it down naamini ana uwezo wa kumpush Brock Lesnar to the limit mkuu tatizo Lesnar huwa anakwepa kuja raw kutangaza open challenges!!Hiyo game itakuwa nyepesi sana kwa lesnar
Hapo sawaDogo wa burn it down naamini ana uwezo wa kumpush Brock Lesnar to the limit mkuu tatizo Lesnar huwa anakwepa kuja raw kutangaza open challenges!! View attachment 934186